Mfahamu Salma Kikwete

Mfahamu Salma Kikwete

Kuna maswali mengine yanatia kichefuchefu kumuuliza mtu mzima. Kwa mfano swali la hapo juu eti"baada ya kufunga ndoa mlifanya nini" hili ni swali la heshima kweli !!? huu ndio ukanjanja.
 
watoto 8?huyu mama bwana mbona hawataji wale mapacha wanaosoma dubai na kale ka chekechea kule kwa assas?idadi ya watoto ina mushkeli
 
TUESDAY, NOVEMBER 18, 2014
Lakini kwa ujumla tuna watoto wanane, ikiwa ni pamoja na watatu ambao mume wangu alipata
na mke wake wa kwanza.


Hawa wakubwa mmoja ni Mbunge, mwingine ni daktari na mwingine ni mtaalamu wa
Teknohama (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano).

Huyo Mke wa Kwanza wa Mhe Rais JK anaitwa nani na yuko wapi?

Mbona hatajwi kabisa? Wakati wa awamu ya Mwinyi tuliwafahamu wote Sitti na Khadija, ingawa aliyekuwa akivuma ni Sitti. Lakini huyu wa kwanza wa Mhe Kikwete hatajwi kabisa.

SWALI LA KICHOKOZI: Kwanini wake wadogo huwa wanawa overshadow wake wakubwa. Chunguza utaona ukweli wa maoni yangu.
 
hivi pharmacist ni daktari? maana salama ni mfamasia sasa sijui ni daktari pia anyway..tuje mtaalam wa technohama huyu mama yake alikuwa mpishi pale dodoma hotel ,mbunge na daktari mama yao mmoja kwa hiyo idadi ya wake nayo inachanganya..yule wa mwananyamala naye! mama inabidi apigwe interview ya pili tuwekane sawa
 
Kwani ile skendo ya yule dogo wa kikongo ni kweli mkuu au maneno ya watu tu mtaani...?.

Mnaida iko Mikindani pale Mtwara( Manispaa) lakini ni jirani tu na pale Naumbu ( Mtwara vijijin) kwa dada yetu(mh. Hawa Ghasia) na nikiangalia aje zao ziko karibia sawasawa. Kwa muktadha huo, wawili hawa (Mama Salma na mama Hawa) hawajakutana barabarani, itakuwa walicheza wote hawa enzi hizooo! Jambo moja ambalo sikufikiria ni lile la kuwa First Lady kusoma pale Ligula Primary School. Kuna mada humu ya kuhusu Mtwara watu walikumbushana maisha ya zamani Mtwara. Kama Sizinga uko hewani, tuwekee picha ya Ligula Primary School, naona imechoka, pengine mkuu wa WAMA anaweza kuwafikiria ikafanyiwa ukarabati na au kununua madawati.
 
Mwaka juzi Mwanaasha alifeli peke yake pale shule ya feza kidato cha nne kwa div 4 mbovu hivi inawezekana akawa alipelekwa A Level?
Kama Mwanaasha ndio huyo mtoto ambae anasema anasoma kidato cha sita basi hakupelekwa A-Level, kama ndie mwenyewe basi atakuwa ali-reseat kwa sababu aliomaliza nao kwa sasa tayari wapo chuo.
 
Huyo Mke wa Kwanza wa Mhe Rais JK anaitwa nani na yuko wapi?

Mbona hatajwi kabisa? Wakati wa awamu ya Mwinyi tuliwafahamu wote Sitti na Khadija, ingawa aliyekuwa akivuma ni Sitti. Lakini huyu wa kwanza wa Mhe Kikwete hatajwi kabisa.

SWALI LA KICHOKOZI: Kwanini wake wadogo huwa wanawa overshadow wake wakubwa. Chunguza utaona ukweli wa maoni yangu.
Hakuna mke mkubwa... hao wengine walishatengana na JK kitambo. Hao akina Bi Sitti na Khadija, wote walikuwa wake wa Rais Mwinyi wakati Mwinyi akiwa Ikulu.
 
Hakuna mke mkubwa... hao wengine walishatengana na JK kitambo. Hao akina Bi Sitti na Khadija, wote walikuwa wake wa Rais Mwinyi wakati Mwinyi akiwa Ikulu.

Athen: First Lady amesema kwamba hao watoto wengine wanne ni wa Mke Mkubwa! Sasa unataka kutuaminisha kwamba first lady AMESEMA UONGO?

Hata kama ni kweli huyo MKE MKUBWA walishatengana na Mhe Kikwete, maswali yangu bado yako valid
  1. Je, huyo MKE MKUBWA anaitwa nani?
  2. Je huyo MKE MKUBWA yuko wapi na anafanya nini?
Au kwa kuwa walishatengana na Mhe. Kikwete basi hata kufahamu jina lake ni DHAMBI?!
 
Athen: First Lady amesema kwamba hao watoto wengine wanne ni wa Mke Mkubwa! Sasa unataka kutuaminisha kwamba first lady AMESEMA UONGO?

Hata kama ni kweli huyo MKE MKUBWA walishatengana na Mhe Kikwete, maswali yangu bado yako valid
  1. Je, huyo MKE MKUBWA anaitwa nani?
  2. Je huyo MKE MKUBWA yuko wapi na anafanya nini?
Au kwa kuwa walishatengana na Mhe. Kikwete basi hata kufahamu jina lake ni DHAMBI?!

Mama wa Ridhwan alishafariki
 
Athen: First Lady amesema kwamba hao watoto wengine wanne ni wa Mke Mkubwa! Sasa unataka kutuaminisha kwamba first lady AMESEMA UONGO?

Hata kama ni kweli huyo MKE MKUBWA walishatengana na Mhe Kikwete, maswali yangu bado yako valid
  1. Je, huyo MKE MKUBWA anaitwa nani?
  2. Je huyo MKE MKUBWA yuko wapi na anafanya nini?
Au kwa kuwa walishatengana na Mhe. Kikwete basi hata kufahamu jina lake ni DHAMBI?!
Hajasema ni wa mke mkubwa bali amesema ni wa mke wa kwanza. Kuna tofauti kati ya mke mkubwa na mke wa kwanza. Unaposema mke mkubwa maana ake ni kwamba bado yupo ndani ya ndoa na wake wengine... mke ambae bado yupo kwenye ndoa huwezi kumuita mke wa kwanza... heshima yake ni mke mkubwa. Ukisikia mtu anaitwa mke wa kwanza, then huyo hayupo kwenye ndoa. Hivyo basi, Salma hajasema uongo kwavile alichosema yeye ni mkwe wa kwanza na sio mkubbwa... rejea hayo mahojiano.

Kuhusu huyo mke wa kwanza (sio mkubwa) yupo wapi... kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani huyo mama alishafariki kitambo. Kutengena nae haiwezi kuwa dhambi kufahamu jina lake lakini kama walitengana zamani sana ni ngumu watu kufahamu habari zake.
 
Namheshimu kipekee salma mkwachu kikwete, kwa uvaaji nguo za heshima;na siyo mke wa ...
 
Salma ni mama bora kwani aliweza kuwalea watoto aliowakuta kwa mumewe sio yule katelelo aliekimbiza mke na kumtenganisha babu na watoto wake.Mungu akujaalie Salma
 
Nampongeza Salma kwa nguo za heshima na siyo kama mke wa Obama !
 
Sitamsahau mke wa Mkuu;alipewa kigoda akalie,asimikwe umalkia;akashindwe kwa kivazi kifupi mpaka alipopewa kitenge akaa!
 
watoto 8?huyu mama bwana mbona hawataji wale mapacha wanaosoma dubai na kale ka chekechea kule kwa assas?idadi ya watoto ina mushkeli

Hao aliowataja ndio anaowatambua yeye na pia kawalea.
 
hivi pharmacist ni daktari? maana salama ni mfamasia sasa sijui ni daktari pia anyway..tuje mtaalam wa technohama huyu mama yake alikuwa mpishi pale dodoma hotel ,mbunge na daktari mama yao mmoja kwa hiyo idadi ya wake nayo inachanganya..yule wa mwananyamala naye! mama inabidi apigwe interview ya pili tuwekane sawa

Salama si mfamasia,kasoma DDS(Doctor of Dental Surgery).I know her coz nimesoma nae Muhimbili.
 
Athen: First Lady amesema kwamba hao watoto wengine wanne ni wa Mke Mkubwa! Sasa unataka kutuaminisha kwamba first lady AMESEMA UONGO?

Hata kama ni kweli huyo MKE MKUBWA walishatengana na Mhe Kikwete, maswali yangu bado yako valid
  1. Je, huyo MKE MKUBWA anaitwa nani?
  2. Je huyo MKE MKUBWA yuko wapi na anafanya nini?
Au kwa kuwa walishatengana na Mhe. Kikwete basi hata kufahamu jina lake ni DHAMBI?!

Mke mkubwa wa JK alishafariki. Alikua mtu wa Bagamoyo. Ndo mama yao kina Riz moko.
 
Mama anaheshima nzuri sana katika jamii. Kila la kheri mama ye2.
 
Mke mkubwa wa JK alishafariki. Alikua mtu wa Bagamoyo. Ndo mama yao kina Riz moko.

Aisee nimesikitika sana kusikia kwamba mama yao na akina Ridhwani alishatangulia mbele ya haki!

Sikujua kabisa, poleni sana Mhe Ridhwani na Miraji, haikuwa nina yangu kutonesha kidonda chenu. Linapokuja sauala la kifo wote tunabaki na ubinadamu wetu.
 
Back
Top Bottom