Mfahamu Salma Kikwete

Mfahamu Salma Kikwete

kwa hio maelezo yote yale hukuelewa,amba kweli wewe umemaliza darasa la tatu B.Na mwalimu wako wa darasa alikuwa Teacher Sikujua amba yy mwenyewe alitaga yai viza form four.
Una maanisha JK alikutana na Salma wakati ni mwanafunzi au?
 
Na mwanaisha yuko wapi?? Maana umesema ana watoto wa5 wote wako secondary na watatu ni wasomi Riz1,Salama au mwite Dr Mrisho na Miraji!! Je mwanaisha yuko wapi?? Wakati alipiga four pale feza??
Kama hujui kitu kaa kimya!!
MAWAZO UJENZI...siyo alipiga four alizunguka mmbuyu aka division O.
 
Last edited by a moderator:
Papikocha; Salima upo wapiii.........!!!!!!

Napita tu... nitarudi baadae.
 
asante kwa historia, kama jina lako ntakutumia tigo pesa ukajipoze.
 
kuna yule mwingine anakampuni ya decoration....mbona hajatajwa humo...
 
Mkuu Mwanaisha mbona nimeshamuelezea.kwa mama salma wakiume wanne wa kike mmoja,au umerogwa wewe?,

kwa hiyo mwanaisha ndo yuko form ngapi sasa?? Hebu tueleze bwana maana sisi tumelogwa!!!
 
mganga aliyekuroga simjui.labda ameshakufa.mm sikuwezi kukufahamisha.coz una ..............

Kijana unapotaka kuhadaa uma jipange!! Umesema wamejaliwa kupata watoto watano,wanne wa kiume na mmoja wa kike wote wanasoma!!
Wa kwanza form six,wa pili form four,wa tatu form two,wa nne darasa la tano na last born la tatu!!!

Umesema wa kike ndo mwanaisha!! Sasa mwanaisha ndo yuko form ngapi?? Maana form four mwaka 2012 alipata four!! Ina maana alirudia form four?? Kama yuko six kafikaje?? Maana kama ka reseat mwaka jana 2013 and matokea ndo yametoka mwezi juzi tu hapa!! Kajipange kwanza!! Unapenda kufagilia familia za wanene ili upewe ulaji?? umekosea sasa na hzo buku saba leo hupati
 
Kijana unapotaka kuhadaa uma jipange!! Umesema wamejaliwa kupata watoto watano,wanne wa kiume na mmoja wa kike wote wanasoma!!
Wa kwanza form six,wa pili form four,wa tatu form two,wa nne darasa la tano na last born la tatu!!!

Umesema wa kike ndo mwanaisha!! Sasa mwanaisha ndo yuko form ngapi?? Maana form four mwaka 2012 alipata four!! Ina maana alirudia form four?? Kama yuko six kafikaje?? Maana kama ka reseat mwaka jana 2013 and matokea ndo yametoka mwezi juzi tu hapa!! Kajipange kwanza!! Unapenda kufagilia familia za wanene ili upewe ulaji?? umekosea sasa na hzo buku saba leo hupati
ngoja mi nikueleweshe hi topic hata kama kaileta leo lakini haijaandikwa leo itakua na mda mwanaasha for now yupo marekani collage
 
ngoja mi nikueleweshe hi topic hata kama kaileta leo lakini haijaandikwa leo itakua na mda mwanaasha for now yupo marekani collage

Very spoken,tatxo la huyu jamaa ame copy tu huko thread ya miaka 2011 ndo kaileta leo!! Ndo maana anajichanganya!! Poa and thankx Sana!!
 
USIOGOPE.:A S-frusty2:

Kijana unapotaka kuhadaa uma jipange!! Umesema wamejaliwa kupata watoto watano,wanne wa kiume na mmoja wa kike wote wanasoma!!
Wa kwanza form six,wa pili form four,wa tatu form two,wa nne darasa la tano na last born la tatu!!!

Umesema wa kike ndo mwanaisha!! Sasa mwanaisha ndo yuko form ngapi?? Maana form four mwaka 2012 alipata four!! Ina maana alirudia form four?? Kama yuko six kafikaje?? Maana kama ka reseat mwaka jana 2013 and matokea ndo yametoka mwezi juzi tu hapa!! Kajipange kwanza!! Unapenda kufagilia familia za wanene ili upewe ulaji?? umekosea sasa na hzo buku saba leo hupati
 
Huu Uzi hauna muda mrefu hapa utafungwa!!:wave:
 
Kuna mwingine naambiwa anaitwa Mwarusembe, msanii huyo!
 
Back
Top Bottom