Dini inaruhusu sheheee
Hongera zao 1985 kukutana na harusi 1989.
Atakuwa ni huyo wa kidato cha sita coz' alimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na kupata IV:27.Kwa hiki kilichoandikwa nashindwa kuelewa MWANAASHA yupo eneo gani kati ya hawa wote waliotajwa kwani inaonyesha watoto wote wa Salma hakuna ambaye yupo chuo.
''Wamejaaliwa watoto watano kati yao wanne ni wa kiume na mmoja wa kike. Wote wanasoma, wa kwanza yuko kidato cha sita, wa pili cha nne, wa tatu cha pili, wa nne yuko darasa la tano na wa mwisho yuko darasa la tatu''.
Tunajifunza nini sasa kwa taarifa hii...
hahahaaa full kuchezewa
Wewe naona unaleta upuuzi. Utaandikaje historia ya mtu aliye hai utadhani ni marehemu: Marehemu tunaandika yaliyo mema tu lakini aliye hai tunaandika hata upuuzi wake. Huyu amekutuma?
Eleza vizuri bila kupotosha. Huyu alikutana na Prof J.K akiwa mwanafunzi wa sekondari. Mapenzi ya mapeeeema! Kwa ujumla hakuwa siriasi na masomo na matokeo yake yalikuwa hooooovyo!
Mara kadhaa amejaribu kujiendeleza na kushindwa (msingi mbovu). Uliza pale Kigurunyembe, Morogoro.
Ukitaka mengine sema tuseme zaidi ya hapa. Endelea zaidi hata kazi yake ya sasa na tutakueleza na jinsi anavyojilipa mshahara mkubwa kuliko wa mumewe kwa pesa za wizi. Eti first Lady!!!!!!!!!!!!!
Mama Salma ni Mama mwema saana mpole na mtulivu mmmno,am happy with our first Lady kwakweli.
Mbona povu?Mkuu Mwanaisha mbona nimeshamuelezea.kwa mama salma wakiume wanne wa kike mmoja,au umerogwa wewe?,
Una maanisha JK alikutana na Salma wakati ni mwanafunzi au?
Another view. Walikutana mama akiwa JKT Mh. a link has jeshini! Kwa jinsi JK alivyofanikiwa kisiasa Mama Salma lazima ni mwanamke, mke na mama mzuri. Panapo stahili sifa MTU apewe sifa zake. Hongera Mama Salma. Tunachosubiri kwako ni kuchukua jimbo la Lindi mjini ili watu watambue potentiality uliyo nayo.
Another view. Walikutana mama akiwa JKT Mh. a link has jeshini! Kwa jinsi JK alivyofanikiwa kisiasa Mama Salma lazima ni mwanamke, mke na mama mzuri. Panapo stahili sifa MTU apewe sifa zake. Hongera Mama Salma. Tunachosubiri kwako ni kuchukua jimbo la Lindi mjini ili watu watambue potentiality uliyo nayo.