Mfahamu Salma Kikwete

Mfahamu Salma Kikwete

Nilidhani athari za 'tezi dume' zinamsukumo mkubwa kwenye tangazo hili la. . . . . . . . .

otherwise sina sababu ya kumfahamu mutu huyu.
 
Mimi nimezaliwa Mchambawima Zanzibar mke wangu nilikutana nae Mfereji wa wima Zanzibar na tulifungia ndoa Dore.
 
Kaswali aka mngemwuliza pia 1st mama "unazungumziaje kesi ya babu Seya". Tunahitaji hisia zake....!
 
Du ngoma ya ufisadi bado mbichi, hawa5 waliopo shule sijui watakabidhiwa migodi ipi?
 
Kwa hiki kilichoandikwa nashindwa kuelewa MWANAASHA yupo eneo gani kati ya hawa wote waliotajwa kwani inaonyesha watoto wote wa Salma hakuna ambaye yupo chuo.

''Wamejaaliwa watoto watano kati yao wanne ni wa kiume na mmoja wa kike. Wote wanasoma, wa kwanza yuko kidato cha sita, wa pili cha nne, wa tatu cha pili, wa nne yuko darasa la tano na wa mwisho yuko darasa la tatu''.
Atakuwa ni huyo wa kidato cha sita coz' alimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na kupata IV:27.
 
Ongera zake na uzazi wa mpango sasa huyu wa la tatu si atamuita Jk babu??
 
Wewe naona unaleta upuuzi. Utaandikaje historia ya mtu aliye hai utadhani ni marehemu: Marehemu tunaandika yaliyo mema tu lakini aliye hai tunaandika hata upuuzi wake. Huyu amekutuma?

Eleza vizuri bila kupotosha. Huyu alikutana na Prof J.K akiwa mwanafunzi wa sekondari. Mapenzi ya mapeeeema! Kwa ujumla hakuwa siriasi na masomo na matokeo yake yalikuwa hooooovyo!

Mara kadhaa amejaribu kujiendeleza na kushindwa (msingi mbovu). Uliza pale Kigurunyembe, Morogoro.

Ukitaka mengine sema tuseme zaidi ya hapa. Endelea zaidi hata kazi yake ya sasa na tutakueleza na jinsi anavyojilipa mshahara mkubwa kuliko wa mumewe kwa pesa za wizi. Eti first Lady!!!!!!!!!!!!!


Mkuu weka mambo adharani tafadhali
 
Nasikia na pale Iringa mkulu kajipakulia mtoto wa Asasi!
 
Mama Salma ni Mama mwema saana mpole na mtulivu mmmno,am happy with our first Lady kwakweli.



Na anapendeza kuwa a first lady si kama Mama Mkapa kiasi kwamba akiwa front page watu wanashindwa kununua gazeti.
 
Mkuu Mwanaisha mbona nimeshamuelezea.kwa mama salma wakiume wanne wa kike mmoja,au umerogwa wewe?,
Mbona povu?
Mtoto wa kwanza aliyepatikana hapa Dodoma mbona hajatajwa?
au kwa vile Mama Salma hakumlea lakini kwenye hafla na hata Harusi pale Mlimani City walihudhuria?
angemtaja tu na hata yule wa Arusha
 
Una maanisha JK alikutana na Salma wakati ni mwanafunzi au?

Another view. Walikutana mama akiwa JKT Mh. a link has jeshini! Kwa jinsi JK alivyofanikiwa kisiasa Mama Salma lazima ni mwanamke, mke na mama mzuri. Panapo stahili sifa MTU apewe sifa zake. Hongera Mama Salma. Tunachosubiri kwako ni kuchukua jimbo la Lindi mjini ili watu watambue potentiality uliyo nayo.
 
Another view. Walikutana mama akiwa JKT Mh. a link has jeshini! Kwa jinsi JK alivyofanikiwa kisiasa Mama Salma lazima ni mwanamke, mke na mama mzuri. Panapo stahili sifa MTU apewe sifa zake. Hongera Mama Salma. Tunachosubiri kwako ni kuchukua jimbo la Lindi mjini ili watu watambue potentiality uliyo nayo.

Another Hawa Ghasia
 
Another view. Walikutana mama akiwa JKT Mh. a link has jeshini! Kwa jinsi JK alivyofanikiwa kisiasa Mama Salma lazima ni mwanamke, mke na mama mzuri. Panapo stahili sifa MTU apewe sifa zake. Hongera Mama Salma. Tunachosubiri kwako ni kuchukua jimbo la Lindi mjini ili watu watambue potentiality uliyo nayo.

Another truth failure! Salma wenu alikuwa mtu wa ngono nyingi sekondari na kama ingekuwa ktk sheria hii ya sasa na ubakaji, Prof. J alibaka. Salma alibebwa akiwa mwanafunzi tu na tunaofahamu hatuoni ajabu maana shuleni hakuwa na kitu zaidi ya ngono za mapema kabisa.

Acheni kuwa munaleta topic kama hizi wengine zinaishia kuwaumbua tu! Historia yake kwa upande huo imepinda.
 
Back
Top Bottom