Mfahamu Salma Kikwete

Mfahamu Salma Kikwete

The Mugabe strategy is looming!! after failure of Mseveni's tactics. Good bless Tanzania
 
Mbona povu?
Mtoto wa kwanza aliyepatikana hapa Dodoma mbona hajatajwa?
au kwa vile Mama Salma hakumlea lakini kwenye hafla na hata Harusi pale Mlimani City walihudhuria?
angemtaja tu na hata yule wa Arusha

Hebu funguka maana inaonyesha kuna mambo yanafichwa hapa. Hawawezi kutoa habari huku wakificha nyingine.
 
Hebu funguka maana inaonyesha kuna mambo yanafichwa hapa. Hawawezi kutoa habari huku wakificha nyingine.
CHAKAZA mm naogopa kwani huu uzi upo humuhumu JF
ulitoka kitambo kuhusu 'watoto wa JK'
Kkilichonikwaza ni pale mleta mada alipoweka fullstop mke wa kwanza
Lakini kwa ujumla wana watoto wanane, ikiwa ni pamoja na watatu ambao mume wake alipata na mke wake wa kwanza.
ntarudi na nondo za ku-paste huo uzi
 
#Mo Mbelwa hao wa5 walio skonga watakabidhiwa mgodi wa Uranium-Namtumbo,Kitalu cha Uwindaji,watanunuliwa pia kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia(zamani-African Barrick Gold).
 
duh! watoto wanane.huku unasaratani,lazima upige fedha ya maana mahali upate cha kuwaachia
 
Unafikiri ukimpamba sana utapewa noti? Umekaribia kumdhalilisha tena usirudie kumsemea
 
Naona anatabasamu zuri sana,na hisi anajua akauti ya familia ina pesa zauma kiasi gani,ukiachana na yale mabasi yake ya rout ya arusha to tanga,so lazima awpende wa danganyika,ila kiama kina kuwa hawata kaa wasahau ktika maisha yao,walimu wi wame toka jkt saa hivi ni zamu ya wapiga kura kwenda,
 
Mhhh! Niliwahi kusikiaga kua alipokua Soldier alizinguliwa na Mama Watoto wake, akampiga chini. Mhh! kaka tuyawache maana ni mengi.
Unajua JK alipokuwa Soja alikuwa na Waitara. Sasa Waitara ni straika mzoefu kwenye kupiga wake za watu. Yule mama akamshobokea Waitara. Waitara hakufanya ajizi akipiga shuti moja kali umbali wa mita 30 mpira ukagonga besela na kurudi ndani, akauwahi akapiga kichwa cha ajabu akacheka na nyavu! Luteni Kanali aliposikia ndipo bifu lake na Waitara lilipoanzia na yule mama akapewa twalaka tatu. Waitara anapiga hadi kesho!
 
Ninyi hata watu wajinga mnatuambia tuwafahamu kwa ajili ya nn,hiyo kazi ya kumfahamu tumwachie watoto wake.
 
Unajua JK alipokuwa Soja alikuwa na Waitara. Sasa Waitara ni straika mzoefu kwenye kupiga wake za watu. Yule mama akamshobokea Waitara. Waitara hakufanya ajizi akipiga shuti moja kali umbali wa mita 30 mpira ukagonga besela na kurudi ndani, akauwahi akapiga kichwa cha ajabu akacheka na nyavu! Luteni Kanali aliposikia ndipo bifu lake na Waitara lilipoanzia na yule mama akapewa twalaka tatu. Waitara anapiga hadi kesho!

Mkuu nasikia yule mama alikufa kabla muheshimiwa hajawa presidaa!
 
Mama anaonekana kuwa mkarimu sana na hana chenbe ya kudharau watu mungu amjalie maisha marefu nae aione tanganyika huru huko tuendako.

Ana roho mbaya huyu mama, shetani akasome. Nimekuwa kwenye circle yake kipindi cha mwishoni mwa urais wa mumewe. Ana roho nyeusi huyu mama, nina mifano hai ya kutosha kujaza kitabu pamoja na picha. JK ndio mzungu wa roho sio hili dude


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa kusini wana upendo na utu...same as watu wa pwani hawana unyama!!
 
Back
Top Bottom