Mfahamu mrithi wa Marehemu Maalim Seif, Mh. Othuman Masoud Othuman

Shika kwa magego utabiri wangu huu.


Rais wa Znz Mh H Mwinyi na Makamu wa Rais wa kwanza kwa Znz Mh O. Masoud wote ndio watakaokuwa wagombea Urais wa JMP.

Mmoja kupitia CCM,
Mwengine kupitia muungano wa vyama vya upinzani.

Utabiri huu ni wa kisayansi na umeegemea utamaduni tuliojiwekea kuwa kama Rais ataongoza miaka 10 ni mkatoliki miaka 10 inayofata awe Muislam.

Sasa hii ni zamu ya muislam.... Kwa CCM hakuna anaekubalika kama Mwinyi. Binafsi naamini my Mwinyi ni kipenzi zaidi cha watanganyika kuliko waznz. Hata hivyo mtindo wake wa uongozi alioanza nae umemwongezea mapenzi makubwa kwa wana CCM na hivyo kuwa ndio karata pekee kwa CCM kuelekea uchaguzi 2025.

ACT kumteua Othman ashike nafasi hii ya MWKR ni chaguo bora zaidi. Othman ni mzuri sana ktk kujenga hoja za kisayansi zaidi ya Mtangulizi wake Maalim.

Naamini kama Mh Othamn ataicheza karata vzr basi atawaunganisha vema watz na kuunganisha nguvu wa wapinzani.
 
ni moja ya watu watakaosababisha muungano uvunjwe na baadaye ataishi kwenye historia akilaumiwa na yeye akijilaumu. kwasababu sasaivi tunapowashikilia kama watoto wanaona wabara hatuna faida, ila tukiachana watatutafutak wa tochi.
Ni nani anamng'ang'ania mwenzake kati ya Tanganyika na Zanzibar.Mtanganyika acha unafiki kujifanya kumjali mtu ambaye hakutaki wala hataki ushirika na wew. Mtanganyika unatumia mpaka vifaru ili Zanzibar isijiondoe kwa muungano.
 
Ni moja ya watu watakaosababisha muungano uvunjwe na baadaye ataishi kwenye historia akilaumiwa na yeye akijilaumu. kwasababu sasa hivi tunapowashikilia kama watoto wanaona wabara hatuna faida, ila tukiachana watatutafuta kwa tochi.
Kwanini mnaung'ang'ania muungano wakati wazanzibar waliowengi hawautaki?
 
Kwanini mnaung'ang'ania muungano wakati wazanzibar waliowengi hawautaki?
ni wazanzibar gani unaosema hawautaki? kati ya wale wavivu wanaorandaranda mtaani kule zenji kujiuza kwa vibibi vya kizungu, na wapemba waliojaa Kigamboni, DSM, hadi mwanza ukienda unawakuta, wanamiliki ardhi na majumba kwa uhuru tu (wakati wewe ukienda zenji kutafuta kiwanja/nyumba utaitwa chogo na hautapata, hata ukipata labda kam mwekezaji, kama wa kawaida utawindwa na raia hadi uuze mwenyewe). kaeneo kenyewe kadogo mno, wanafaidika kwetu kuliko sisi kufaidika kwao. leo tu ukisema ufukuze wapemba kigamboni na dsm warudi kwao, familia zitakazolia na kusaga meno kule zenji ni nyingi mno kwasababu wanakula kwa matunda ya ndugu zao wanaochumia huku.
 
ni wazanzibar gani unaosema hawautaki? kati ya wale wavivu wanaorandaranda mtaani kule zenji kujiuza kwa vibibi vya kizungu, na wapemba waliojaa Kigamboni, DSM, hadi mwanza ukienda unawakuta, wanamiliki ardhi na majumba kwa uhuru tu (wakati wewe ukienda zenji kutafuta kiwanja/nyumba utaitwa chogo na hautapata, hata ukipata labda kam mwekezaji, kama wa kawaida utawindwa na raia hadi uuze mwenyewe). kaeneo kenyewe kadogo mno, wanafaidika kwetu kuliko sisi kufaidika kwao. leo tu ukisema ufukuze wapemba kigamboni na dsm warudi kwao, familia zitakazolia na kusaga meno kule zenji ni nyingi mno kwasababu wanakula kwa matunda ya ndugu zao wanaochumia huku.
Kwani kuishi sehemu nikosa kisheria ni wangapi wanaoishi sehemu tofauti za dunia wamejenga na kila kitu lakni hakuna muunganiko uliopo kiufupi suali langu hukujibu.
 
Kwani kuishi sehemu nikosa kisheria ni wangapi wanaoishi sehemu tofauti za dunia wamejenga na kila kitu lakni hakuna muunganiko uliopo kiufupi suali langu hukujibu.
namaanisha, Wazanzibari wanafaidika sana na kuwepo kwenye muungano huu kuliko watanganyika wanavyofaidika. na wakiendelea na chokochoko hizi kuna siku chizi atashika nchi na atauvunja mchana kweupe ili waende kwao, hapo ndipo watakapotakiwa kubeba mizigo yao yote toka kigamboni, dsm, Tanga hadi Mwanza warudi nayo zenji wakajazane kwenye kile kisiwa kinachopungua ukubwa (kinaliwa na maji) kila miaka inavyoenda. wao wanaota ndoto kwamba wakiwa peke yao watakuwa kama Oman, au uarabuni, wenzeo waarabu wana mafuta, wao hata ya kujipaka tu hawana, wanategemea utalii, na hata wakiweka bandari huru bado wataihitaji Tanganyika sana kuvusha mizigo kwenda nchi zisizo na bandari (wasitukane mamba) eg.Zambia, Congo, rwanda, burundi, Uganda etc. waache theory za kudanganywa. siku wakija kutoka, watajaribu kurudi na haitawezekana. Wabara mara nyingi tuko flexible nao kwasababu tumewazoea kama ndugu zetu, hatufaidiki lakini kuwaacha wasiwe ndugu inatuuma kwasababu tumekuwa pamoja miaka mingi. wenye akili wanalijua hili.
 
mbona kama ni pandikizi la ccm hili..!!!
nanukuu "Julai 2002 Mh.Othuman aliteuliwa kuwa katibu mkuu Wizara ya utawala Bora, Sheria na katiba ,pia naibu mwanasheria mkuu wa serikali (Deputy Attorney General)."
bila shaka huyu mh. ni AFISA KIPENYO
 
Ni nani anamng'ang'ania mwenzake kati ya Tanganyika na Zanzibar.Mtanganyika acha unafiki kujifanya kumjali mtu ambaye hakutaki wala hataki ushirika na wew. Mtanganyika unatumia mpaka vifaru ili Zanzibar isijiondoe kwa muungano.
hivi nikikuuliza hapa leo, bara tunafaidika na nini na zanzibar, utanitajia kitu hata kimoja?...nothing! ila Zanzibar mnafaidika sana na bara kwasababu mnamiliki ardhi mpendavyo mkija huku, mnaajiriwa ajira za public hadi huku bara, mnafanya biashara na kuishi kama raia. sisi wabara huko kwenu hatuajiriwi, hatumiliki ardhi kwasababu mnaona itaisha na tukiishi huko mnatubagua hatuishi kwa raha mnasahau yote tunayowafanyia mkiwa bara. huku bara wazanzibari wamejaa na wanapata fursa.

kwa taarifa yako, wabara wanawashilikia wazenji kwasababu ya undugu tu, tumekuwa ndugu miaka mingi na kutengana kutatuuma. ukiishi na mtu miaka mingi hata kama mtaachana kwa kugombana lakini kuna maumivu. mnamiliki majumba hapa, fursa zote mmepewa ila mnachotaka ni kujitenga na kuungana na waarabu as if mtaamka asubuhi na kuwa matajiri kama wao, wenzenu wana mafuta, ninyi mna nini? siku muungano ukivunjika mtakuja kutafuta nafasi ya kuuunga na hamtakuja kuipata. shauri zenu.
 
Ni mtu wa Serikali toka azaliwe anapambania ugali wake Seikalini anajulikana kwa misimamo mikali ya serikal tatu lakini FVP Zanzibar ni ceremonial, sidhani kama atafutukuta.
Awe makini wasije mpiga sum mala nying ccm inapenda wanachama kondoo sio Hy flammable
 
namaanisha, Wazanzibari wanafaidika sana na kuwepo kwenye muungano huu kuliko watanganyika wanavyofaidika. na wakiendelea na chokochoko hizi kuna siku chizi atashika nchi na atauvunja mchana kweupe ili waende kwao, hapo ndipo watakapotakiwa kubeba mizigo yao yote toka kigamboni, dsm, Tanga hadi Mwanza warudi nayo zenji wakajazane kwenye kile kisiwa kinachopungua ukubwa (kinaliwa na maji) kila miaka inavyoenda. wao wanaota ndoto kwamba wakiwa peke yao watakuwa kama Oman, au uarabuni, wenzeo waarabu wana mafuta, wao hata ya kujipaka tu hawana, wanategemea utalii, na hata wakiweka bandari huru bado wataihitaji Tanganyika sana kuvusha mizigo kwenda nchi zisizo na bandari (wasitukane mamba) eg.Zambia, Congo, rwanda, burundi, Uganda etc. waache theory za kudanganywa. siku wakija kutoka, watajaribu kurudi na haitawezekana. Wabara mara nyingi tuko flexible nao kwasababu tumewazoea kama ndugu zetu, hatufaidiki lakini kuwaacha wasiwe ndugu inatuuma kwasababu tumekuwa pamoja miaka mingi. wenye akili wanalijua hili.
Maelezo mengi swali hujibu.

Kwahiyo ukivunjika kutakuwa ya sheria ya kwamba wazanzibar wasiingie tanganyika kwasababu muungano umevunjika?

Tutaingia kama nchi nyengine tunavyoingia.

Swali kwanini mnaung'ang'ani muungano hali yakuwa wazanzibar waliowengi hawautaki?
 
hivi nikikuuliza hapa leo, bara tunafaidika na nini na zanzibar, utanitajia kitu hata kimoja?...nothing! ila Zanzibar mnafaidika sana na bara kwasababu mnamiliki ardhi mpendavyo mkija huku, mnaajiriwa ajira za public hadi huku bara, mnafanya biashara na kuishi kama raia. sisi wabara huko kwenu hatuajiriwi, hatumiliki ardhi kwasababu mnaona itaisha na tukiishi huko mnatubagua hatuishi kwa raha mnasahau yote tunayowafanyia mkiwa bara. huku bara wazanzibari wamejaa na wanapata fursa.

kwa taarifa yako, wabara wanawashilikia wazenji kwasababu ya undugu tu, tumekuwa ndugu miaka mingi na kutengana kutatuuma. ukiishi na mtu miaka mingi hata kama mtaachana kwa kugombana lakini kuna maumivu. mnamiliki majumba hapa, fursa zote mmepewa ila mnachotaka ni kujitenga na kuungana na waarabu as if mtaamka asubuhi na kuwa matajiri kama wao, wenzenu wana mafuta, ninyi mna nini? siku muungano ukivunjika mtakuja kutafuta nafasi ya kuuunga na hamtakuja kuipata. shauri zenu.
Zanzibar ni nchi,tuachieni nchi yetu,hizo speculation zako eti tutapata shida hazina maana.Hatuwahitaji lkn nyie mnatung'ang'ania na kujidai eti mntusaidia. Unalazimisha kumsaidia mtu ambae hakutaki na wala haoni umuhimu wako kwake.

Tuacheni basi tuwe huru kuchagua hata viongozi wetu. Rais wa Zanzibar tunaletewa kutoka Dodoma. Zanzibar imekuwa koloni la Tanganyika. Jiulize wakati wa kupitisha jina la mgombea Urais wa Zanzibar pale Dodoma, kati ya wapiga kura 150 Wazanzibar Ni 30 tu wengine ni Watanganyika. Kwa hiyo Wazanzibar hawajawahi kuamua nani awe rais wao bali Tanganyika ndiyo inatuamulia na kumleta mtu wao.

Huu ni ukafiri, Ni ukhanithi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom