Wewe jamaa acha kutuchafua watu wa kijiji chetu sio cha hao wanyamanyafu.Mkuu hapo pa ikuti umekosea hawa jamaa wanapatika mkondo wa chuo cha magereza ukipita pale chuo kuelekea juu ndio kijiji cha hao malamanyafu ikuti iko nyuma ya magereza na huo mto songwe upo mpkani mwa tanzania na malawi kutoka kwa hao malamanyafu ni zaidi ya km 200
jamaa kama Google mapDah mzee wewe Mbeya unaijua. Ghana, Nonde, Sokomatola, Mwanjelwa na Uyole ndio Mbeya halisi miaka hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlifanikiwa kuwahi kumfungulia?Mbeya kwa matukio hatari sana
Mara jombi,jaili ,wachuna ngozi ,wapiga nondo hatari sana...
Baba Bato alikuwa anavutavuta Sana bangi, ndiye mwanzilishi wa route ya Majengo Iyela kupitia Uwanja wa Ndege wa zamani.Kuna mzee mmoja naye alikuwa anaitwa Mwanjisi alifanya biashara ya Hiace, sifa ya gari ya ni ilikuwa imechoka sana naye alikuwa na stori za mauza uza. Hivi bado yu hai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilisoma kwenye gazeti la uwazi kipindi hicho Mbeya ilikuwa na matukio ya hatari sana.Hii stori niliwahi isikia enzi hizo mbeya wanasema ni mbalizi road ilitokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Wali kwa mama Moni, au mihogo kwa bi mkubwa fulani ana mikono imekomaa CR7 mrembo
So huwez kabisa mkuzuia kwa kawaida nyoka asi kuuweBujibuji mwaka 2001 kuna ajali ilitokea Mbeya wakafa watu wote halafu baada ya ajali mtu mmoja akawa anaokota ubongo wa hao Marehemu anatia kwenye mfuko...
Hao wote siwafahamu itakuwa walikuja baadae sanaTulikuwa tunamuita Aunt huyo bi.Mkubwa .Alikuwa na tako hivi ila sio kubwa kama la da Flora wa kwamama Moni .
Kwa mazingira hayo it will kill you.. but if u can then it's owakay
Taja basi hicho kijiji unacho kijua weweWe jamaa acha kutuchafua watu wa kijiji chetu sio cha hao wanyamanyafu.
Ndagha nkamu
Huyo mwokata meno na ubongo hii ilitokea maeneo ya ulipo uwanja wa kimataifa wa songweBujibuji mwaka 2001 kuna ajali ilitokea Mbeya wakafa watu wote halafu baada ya ajali mtu mmoja akawa anaokota ubongo wa hao Marehemu anatia kwenye mfuko...
Hili neno mbelewele sijalisikia siku nyingi sanaUnamkumbuka Mzee Miraji wa Joka Road? Alikuwa na nyumba yake mtaa huo, nyumba ilikiwa na mahindi yamelimwa na yametoa mbelewele, Sasa kukawa na jamaa wanachunga ng'ombe, wakaingiza mifugo kwenye hicho kibustani cha mbele ya nyumba, wale wanyama wakapigwa upofu, na wale vijana wachungaji wakahangaika siku nne kwenye hicho kibustani wanatafuta njia ya kutokea wasiione.
Ulilisikia wapi kwa Mara ya mwisho?Hili neno mbelewele sijalisikia siku nyingi sana
Mwaka wa sabuni ulimaanisha mwaka wa kujichakachua mzeeMwishoni mwa miaka ya sabuni niliwahi kusikia kisa Cha jamaa huyu...ukisikia mtu analia " nakufaaaa" kwenye msitu ule usikimbilie. Ndivyo tuliambiwa chinjachinja alikuwa anafanya vitu vyake...
We Bujibuji kweli ni wa Mbeya. Nami ingawaje kwetu Nyegezi Mz, lakini nimekaa mitaa hiyo.Ukifika Mbeya Mjini kuna eneo linaitwa Forest Mpya.
Siku za nyuma eneo hilo lilijulikana tu kama Forest kwa kuwa kulikuwa na msitu mkubwa sana wa miti ya milingoti ambayo Kama huijui ni miti inayozalisha nguzo za umeme na za TTCL...
You are welcomeπππ ngoja kwanza ni subscribe
Hah hah kwa nature ya kazi zako Mbeya lazima uijue posolo. Mbeya wana Kiswahili Cha peke yao, siko/mundu wanaita nyengoWe Bujibuji kweli ni wa Mbeya.
Nami ingawaje kwetu Nyegezi Mz, lakini nimekaa mitaa hiyo.
Unafahamu hadi posolo?
Simon Sirro liked your post.Umenikumbusha mbali sana! Kuna jirani yetu alichanjwa, kupitia ukuta uliokuwa nyumbani kwetu.
Dawa, ilikuwa kupaka maji ya malimao. Hivyo, tulimnunulia pale REJIKO sokoni.
Nakumbuka pia, kuna jamaa watatu walikurupushwa ule mtaa aliokuwa anaishi Mzee Mwangoka (tulikuwa tunamuita MKUBWA WA TANU),kwa mayowe kuwa WACHANJAJI! Walipigwa hao watu, huku tukiwapeleka polisi. Tulipofika kwenye daraja pale mbele ya duka la Dauseni, kuelekea kwa yule mganga mfuga nyuki mzee Kibwana, mmoja akafariki, kwa kipigo. Bahati nzuri polisi walikuja, wakawaokoa wale wawili, na kuubeba ule mwili.
Nilikuwa mdogo, lakini mpaka leo ninajiona nina hatia ya yule TULIYEMUUA!
Sent using Jamii Forums mobile app