Mfahamu Jaili: Chinja chinja aliyevuma Mbeya na Mama yake aliyekufa na kufufuka mara tatu

Wewe jamaa acha kutuchafua watu wa kijiji chetu sio cha hao wanyamanyafu.
 
Kuna mzee mmoja naye alikuwa anaitwa Mwanjisi alifanya biashara ya Hiace, sifa ya gari ya ni ilikuwa imechoka sana naye alikuwa na stori za mauza uza. Hivi bado yu hai?

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba Bato alikuwa anavutavuta Sana bangi, ndiye mwanzilishi wa route ya Majengo Iyela kupitia Uwanja wa Ndege wa zamani.
 
Hili neno mbelewele sijalisikia siku nyingi sana
 
Ukifika Mbeya Mjini kuna eneo linaitwa Forest Mpya.

Siku za nyuma eneo hilo lilijulikana tu kama Forest kwa kuwa kulikuwa na msitu mkubwa sana wa miti ya milingoti ambayo Kama huijui ni miti inayozalisha nguzo za umeme na za TTCL...
We Bujibuji kweli ni wa Mbeya. Nami ingawaje kwetu Nyegezi Mz, lakini nimekaa mitaa hiyo.

Unafahamu hadi posolo?
 
Simon Sirro liked your post.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…