Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,913
- Thread starter
- #501
Huko Ni nomaHichi kijiji mpaka leo ni wachawi nilishawahi simuliwa na mkaazi wa huko stori yake unaandika kitabu au kutengeneza movie na inalipa balaaa yaani Tanzania ni kubwa na ina vimbwanga vya kutosha sana