Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
- Thread starter
- #81
Atakujibu kwa wakati wakeMzee Mwanakijiji ni wa Mbeya?
Atakujibu kwa wakati wakeMzee Mwanakijiji ni wa Mbeya?
Tafsiri....Ndagha ghwalingania sebho,mwomwumo
Hahaha we Bujibuji umenikumbusha dagio ....nina miaka 20 sija lisikia hilo neno dagio hahahaha nime kumbuka mbali sana wazee wa kuunda magari ya waya watu wanaunda mpaka mabasi ya waya yana nesa kabisa.ila kuna maneno mengine ulitakiwa uyasahau tu mkuu au bado yanatumika mpaka leo.Tumecheza Sana kinyengo na kuiba Sana dagio pale Posta kwa ajili ya kuundia magari ya waya
Sipajui mkuu.Mkuu unakujua malasi au igembe
Aisee kuna jirani yetu alikua anatoka lindo job ile alfajiri, kafika sehemu wapiga nondo hao wakampa ya utosini ila bahati nzuri aliwahishwa hospitali akapona, ila hiyo sehemu haiotagi nywele kovu tu😪
Masiku ghosa, une natighi ULINJHANGA!Kakaa kapango, amasyu gha naloli agha, mwanie Mzee Mwanakijiji
Ndi gwa nkaja une
Usiombee kuchapwa na fimbo ya mfyulisi, ilikuwa inauma Kama kristapenMkuu Bujibuji umenikumbusha mbali "mkambokambo na milingoti" 😀
Bila kuwasahau watekaji wakona ya mkoa Chunya to Mbeya roadMlima Rungwe, Kijungu, Lake Ngozi, Daraja la Mungu, mbuga ya maua ya Kitulo ni very potential lakini tumekata tamaa kwenye kuvitangaza.
Kashfa za wachuna Ngozi pia nazo ziliifanya Mbeya iogopeke.
Tukio la Idweli la kuteka gari la maiti na kumvua maiti nguo na kuwapora wasindikiza maiti vilisababisha watu wa Mbeya waonekane makatili sana
Nikija ntakuzungusha maeneo mengi na kukupa simulizi zake za kusisimua.Aisee kuna jirani yetu alikua anatoka lindo job ile alfajiri, kafika sehemu wapiga nondo hao wakampa ya utosini ila bahati nzuri aliwahishwa hospitali akapona, ila hiyo sehemu haiotagi nywele kovu tu😪
Enzi hizo kweli Mbeya ilikua haijatulia ila sahivi kupo poa sana, watu wake wakarimu.
Hahaa mfyulisi ulikua noma, kwani una nini ndani yake? Fimbo zake zinauma sanaUsiombee kuchapwa na fimbo ya mfyulisi, ilikuwa inauma Kama kristapen
Dah.... Swali gumu Sana kwangu, lakini mti mchungu Sana ule, Kama muarobaini, lakini matunda Yake matamu Sana.Hahaa mfyulisi ulikua noma, kwani una nini ndani yake? Fimbo zake zinauma sana
Mimi jeeeee……… .hizo DAGIO…. nilishalisahau hilo neno! Na nina imani humu, wengi hawalifahamu, na wala hawazijui, wala kuzitumia hizo DAGIO! "Nkulumba ujhu" ana kumbu kumbu sana!Mkuu Bujibuji umenikumbusha mbali "mkambokambo na milingoti"
Ntashukuru, afu Soweto nimekaa kidogo ila sijui historia yake. Mbeya ina matukio hii🙌Nikija ntakuzungusha maeneo mengi na kukupa simulizi zake za kusisimua.
Unajua kwanini Soweto ya Mwanjelwa Block Q panaitwa hivyo?
Unkulumba alikanunu, ila mwenyewe Dagio sijui ni nini eti, mbulapo fyofiki?Mimi jeeeee……… .hizo DAGIO…. nilishalisahau hilo neno! Na nina imani humu, wengi hawalifahamu, na wala hawazijui, wala kuzitumia hizo DAGIO! "Nkulumba ujhu" ana kumbu kumbu sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wengine walikuwepo Mbeya - Chunya Road Msanga Mwelu njia ya kupitia UtenguleBila kuwasahau watekaji wakona ya mkoa Chunya to Mbeya road