Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
š¢ Mmh Mwanangu tena? Mdogo wako banaMarhaba Mwanangu Bushmamy!!
š¢ Mmh Mwanangu tena? Mdogo wako banaMarhaba Mwanangu Bushmamy!!
Anamkwanjwa mpaka kumiliki chombo kama hiyo si mchezoHuyo Jamaa ni Tajiri kweli au Mzee wa kiki kama Hamorapa?
Hahahah hapana mkuu Harmorapa yeye muigizaji wa maisha ila huyo dogo mzee nomaHuyo Jamaa namchukulia kama hamorapa tu maigizo mengi.
š¢ Mmh Mwanangu tena? Mdogo wako bana
Dogo ujue ww ni verified alafu unataka kuleta utoto wako humu..Hapana mkuu pengine kuna maneno yamejaribu kufanania
Nimetoa assignment nenda Google au wikipidia ukikuta haya njoo useme.Dogo ujue ww ni verified alafu unataka kuleta utoto wako humu..
Kiswahili gani kipo hivyo ukitoa credit kwa Wikipedia na Google translator utarogwa!!
Nimetafuta hii wikipidia wameleta jina na mwaka wa kuzaliwa tu.Dogo ujue ww ni verified alafu unataka kuleta utoto wako humu..
Kiswahili gani kipo hivyo ukitoa credit kwa Wikipedia na Google translator utarogwa!!
Acha kutupanga mzee.Hapana nimekaa kuandika mimi binafsi.
Mfano neno gani linakuchanganya? Harafu kingekua cha GOOGLE kungekuwa na utata mwingi
Hizi takataka umezitoa huko Wikipedia ndio unajigamba eti umetafuta..Mfalme Alasko
Hapana mkuu kiswahili ulichotumia ni testless...yaani kama chai iliyotiwa chumvi tuambie labda ulikulia mno nje ya Tz una kiswahili kibovu kama cha google translation..Tafuta site yeyote kama utakutana na hii.
Nenda Google au Wikipidia harafu njoo na majibu.
Si kila kitu ni copying and pasting
Sawa mkuu Historia ya Msanii Grand PHizi takataka umezitoa huko Wikipedia ndio unajigamba eti umetafuta..
Kiswahili kibovu
Kumradhi mkuu nimetoa matamshi makaliSawa mkuu Historia ya Msanii Grand P
Huyu dogo anazinguaAcha kutupanga mzee.
Nimempa assignment akachunguze huko anako hisi nimetoa then aje ameishia mitini.
Au na wewe mkuu umeingia kuchunguza hujakuta kitu ukaishia?
Au wamenikopy mimiWho is Grand P, and what does he do for a living?
āGRAND P ā is very popular in Guinea and the entire world. He is a singer, artist and also a politician. Learn more about the interesting skilled entertainer.www.tuko.co.ke
Kiswahili kimepinda pinda sana utafikiri kimeandikwa na Mkenya.