Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Nadhan umeelewa nn namaanisha! Haipasw kutafuta mchaw wa tatizo bali ni kutafuta solution ya tatizo!! Kuna kaujinga sana Nchi hii yaan kama kuna changamoto sekta flan bas hapo hutafutwa mchawi wakat ukiangalia walalamikaji wana hoja!!Ukiingiza wanasiasa wa upinzani, mizani inaparaganyika.