Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,770
Tuombe tu kilichoandikwa kwenye post hii kiwe cha kweli; vinginevyo amenasa na ni aibu kwa upinzani.Haya majitu ni ya hovyo sana!!
Tuombe tu kilichoandikwa kwenye post hii kiwe cha kweli; vinginevyo amenasa na ni aibu kwa upinzani.Haya majitu ni ya hovyo sana!!
mkuu aliyenasa ni Ally Hapi si Meya , hili jambo Iringa nzima inamshangaa mno RC kukubali kazi aliyopewa ya kubomoa Chadema ( ambayo hataweza milele ) na kuacha majukumu yake halali na mepesi ya ukuu wa MkoaTuombe tu kilichoandikwa kwenye post hii kiwe cha kweli; vinginevyo amenasa na ni aibu kwa upinzani.
Kama alichosema Erythrocite ni ukweli, unafikiri copies za hizo audio clips zitakuwa makao makuu peke yake?Erythro, kwa hiyo unawakaribisha wasiojulikana 'Makao Makuu' wakairipue kwa mabomu?
Imekuwa vigumu siku hizi kuchambua ukweli ni upi na nini ni gelesha tu!
Waweke wazi maana toka yale ya CD ya mabomu ya Arusha siwahaminiMadai ya Mstahiki Alex Kimbe ya kutishwa na ccm kuuawa asipopokea ile mil 200 ya kuunga mkono juhudi yamefika patamu , hii ni baada ya kuwepo madai ya kurekodiwa kwa HD kwa mamluki waliotumwa kuleta hela hiyo akiwemo mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi , ambaye amebainika pia kutumia mitandao ya kijamii kumchafua meya huyo kwa kutumia majina bandia.
Hii ndio sababu ya ccm Mkoa pamoja na ofisi ndogo Lumumba kushindwa kukanusha tuhuma hizo chafu na za kufedhehesha zinazogusa moja kwa moja Mwenyekiti wa ccm Taifa , Tuhuma za rushwa ya kutengeneza inayomkabili Mh Kimbe , pamoja na mambo mengine imesababishwa na yeye kugoma kutoa flash / cd iliyotumika kurekodia watoa rushwa ya ushawishi wa mil 200 ( imehifadhiwa Chadema Makao Makuu )
Natoa wito kwa TAKUKURU Iringa kuacha kutumikishwa kwa malengo binafsi , wakuu wa mikoa wanapita tu lakini Taasisi hii ya umma itabaki , wasijiingize kwenye michezo michafu maana hawana kinga yoyote huko mbeleni .
Wakati ukifika tukutane mahakamani!Wekeni ushahidi huo wa video mtandaoni watu wote tujue kama unachosema ni kweli au La
MahakamaniMkuu, hio rikod tutaisikia lini?
Erythrocyte, shida ni kwamba mahakama inaweza kusema kuwa ushahidi huo haukubaliki kwa sababu zozote zile maCCM yanaweza chochote. Binafsi nangojea huyo 'Happiness' anase nisherehekeee kunasa kwa aliyemteua!mkuu aliyenasa ni Ally Hapi si Meya , hili jambo Iringa nzima inamshangaa mno RC kukubali kazi aliyopewa ya kubomoa Chadema ( ambayo hataweza milele ) na kuacha majukumu yake halali na mepesi ya ukuu wa Mkoa
NA HATARI SANA,,YANASHIRIIKIANA NA VYOMBO VYA UMMA KUHUJUMU !!!!Haya majitu ni ya hovyo sana!!
Kumbe biashara ya ununuzi mnayo kweli?Huna lolote. Huyo meya wako tayari keshanasa mtegoni. Mungu ibariki TAKUKURU.
Nilijua lzm utakuja na hizi pumba kenge wewe...,Huna lolote. Huyo meya wako tayari keshanasa mtegoni. Mungu ibariki TAKUKURU.
JF ina mtindo wake wa kutoa habari ambao uliipatia sifa kubwa. Kama hiyo flash/CD ipo, tunaomba iwekwe hapa ili watu tujadili. Mambo ya kusema ipo ni kama ule mchezo wa bomu lililolipuka Arusha, tukaambiwa CD ipo bila kuonekana hadi kesi yote ikapotea. Onyesheni video hiyo ili watu wapate aibu. Kwa nini maneno matupu?Madai ya Mstahiki Alex Kimbe ya kutishwa na ccm kuuawa asipopokea ile mil 200 ya kuunga mkono juhudi yamefika patamu , hii ni baada ya kuwepo madai ya kurekodiwa kwa HD kwa mamluki waliotumwa kuleta hela hiyo akiwemo mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi , ambaye amebainika pia kutumia mitandao ya kijamii kumchafua meya huyo kwa kutumia majina bandia.
Hii ndio sababu ya ccm Mkoa pamoja na ofisi ndogo Lumumba kushindwa kukanusha tuhuma hizo chafu na za kufedhehesha zinazogusa moja kwa moja Mwenyekiti wa ccm Taifa , Tuhuma za rushwa ya kutengeneza inayomkabili Mh Kimbe , pamoja na mambo mengine imesababishwa na yeye kugoma kutoa flash / cd iliyotumika kurekodia watoa rushwa ya ushawishi wa mil 200 ( imehifadhiwa Chadema Makao Makuu )
Natoa wito kwa TAKUKURU Iringa kuacha kutumikishwa kwa malengo binafsi , wakuu wa mikoa wanapita tu lakini Taasisi hii ya umma itabaki , wasijiingize kwenye michezo michafu maana hawana kinga yoyote huko mbeleni .
Eti kanasa mtegoni..pyuuuuuu. Hivi mnajua kama mnaliangamiza kwa mikono yenu hili taifa la kambarage?Huna lolote. Huyo meya wako tayari keshanasa mtegoni. Mungu ibariki TAKUKURU.
Walahi!!!!walah!!!!!katika members wasio na faida humu wewe ni namba moja,pumba zimekuzidi hata hao wanaokutuma ni wajinga kama wewe?Hamna lolote walahi mijitu ya Mbagala tu hiyo walahi
Endelea kujidanganyaChadrama kwishney walahi
hivi unajua kuwa mwenzio aliyeko Mexico, Cuba, USA, Canada, etc muda wake ni tofauti na wewe uliyepo hapo Kwamtogore??Na wewe pia ni akili kubwa ndio maana umepost saa nane kasoro usiku
Wakati mwingine mbwa huwinda kwa ajili ya mwenye mbwa.Ikibainika hivyo tunataka mamlaka ya uteuzi wa huyo RC imchukulie hatua stahiki. Nchi hii hatutaki kumwona hata mmoja wetu akionewa,akionewa mmoja tumeonewa wote na haki ni msingi wa maendeleo bila hiyo baraka hupita mbali na kusali kwetu huwa nibure kabisa