Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
....Huna lolote. Huyo meya wako tayari keshanasa mtegoni. Mungu ibariki TAKUKURU.
.....tatizo lenu mnapambana na AKILI KUBWA
....Huna lolote. Huyo meya wako tayari keshanasa mtegoni. Mungu ibariki TAKUKURU.
Huna lolote. Huyo meya wako tayari keshanasa mtegoni. Mungu ibariki TAKUKURU.
Chizi kafufukaHata kwa kideo alikuwa anaongea mwili ukionyesha mengine.. lazima walimwambia usipoongopa kwa umma utayapata ya wenzetu tuliodai hatujui walipo.. eeeh
Ule wa wakina mnyeti ulifanyiwa kazi? Hii ngoma bora ikatolewe nahakamanWekeni ushahidi huo wa video mtandaoni watu wote tujue kama unachosema ni kweli au La
Huyu meya na hao viongozi wa chadema mbona wamekosea sana, wabangojea nini mpaka wanatengezewa mitego ya rushwa na huku walikuwa nayo hiyo recording siku nyingi, sasa walikuwa wanangoja wakamatwe ndio waitumie.Madai ya Mstahiki Alex Kimbe ya kutishwa na ccm kuuawa asipopokea ile mil 200 ya kuunga mkono juhudi yamefika patamu , hii ni baada ya kuwepo madai ya kurekodiwa kwa HD kwa mamluki waliotumwa kuleta hela hiyo akiwemo mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi , ambaye amebainika pia kutumia mitandao ya kijamii kumchafua meya huyo kwa kutumia majina bandia.
Hii ndio sababu ya ccm Mkoa pamoja na ofisi ndogo Lumumba kushindwa kukanusha tuhuma hizo chafu na za kufedhehesha zinazogusa moja kwa moja Mwenyekiti wa ccm Taifa , Tuhuma za rushwa ya kutengeneza inayomkabili Mh Kimbe , pamoja na mambo mengine imesababishwa na yeye kugoma kutoa flash / cd iliyotumika kurekodia watoa rushwa ya ushawishi wa mil 200 ( imehifadhiwa Chadema Makao Makuu )
Natoa wito kwa TAKUKURU Iringa kuacha kutumikishwa kwa malengo binafsi , wakuu wa mikoa wanapita tu lakini Taasisi hii ya umma itabaki , wasijiingize kwenye michezo michafu maana hawana kinga yoyote huko mbeleni .
Huko ccm wote akili zao za kushikiwa huyo hepi jana jipya anatafuta sifa kwa mwenyekiti wakeMadai ya Mstahiki Alex Kimbe ya kutishwa na ccm kuuawa asipopokea ile mil 200 ya kuunga mkono juhudi yamefika patamu , hii ni baada ya kuwepo madai ya kurekodiwa kwa HD kwa mamluki waliotumwa kuleta hela hiyo akiwemo mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi , ambaye amebainika pia kutumia mitandao ya kijamii kumchafua meya huyo kwa kutumia majina bandia.
Hii ndio sababu ya ccm Mkoa pamoja na ofisi ndogo Lumumba kushindwa kukanusha tuhuma hizo chafu na za kufedhehesha zinazogusa moja kwa moja Mwenyekiti wa ccm Taifa , Tuhuma za rushwa ya kutengeneza inayomkabili Mh Kimbe , pamoja na mambo mengine imesababishwa na yeye kugoma kutoa flash / cd iliyotumika kurekodia watoa rushwa ya ushawishi wa mil 200 ( imehifadhiwa Chadema Makao Makuu )
Natoa wito kwa TAKUKURU Iringa kuacha kutumikishwa kwa malengo binafsi , wakuu wa mikoa wanapita tu lakini Taasisi hii ya umma itabaki , wasijiingize kwenye michezo michafu maana hawana kinga yoyote huko mbeleni .
Nakuona bibieEeeeh
Mnatengeneza kama ya akina nanilii wakati ule
Kuna mambo ya kuchekesha sana, ukiandika hata lisiloeleweka cocochanel na Magonjwa Mtambuka lazima wakuunge mkono kwa ku like post yako wewe nawe unangojea upuuzi wao ufanye sawa nao.
Hiyo imenikumbusha nguvu ya Lumumba, kwamba MTU wenu hata apitiwe na kupumua pruuu! na sauti ikapita kwenye mic basi lazima atashangiliwa tuu
Seat ya mbele mkuu Kama bado ipo!!!!!!Madai ya Mstahiki Alex Kimbe ya kutishwa na ccm kuuawa asipopokea ile mil 200 ya kuunga mkono juhudi yamefika patamu , hii ni baada ya kuwepo madai ya kurekodiwa kwa HD kwa mamluki waliotumwa kuleta hela hiyo akiwemo mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi , ambaye amebainika pia kutumia mitandao ya kijamii kumchafua meya huyo kwa kutumia majina bandia.
Hii ndio sababu ya ccm Mkoa pamoja na ofisi ndogo Lumumba kushindwa kukanusha tuhuma hizo chafu na za kufedhehesha zinazogusa moja kwa moja Mwenyekiti wa ccm Taifa , Tuhuma za rushwa ya kutengeneza inayomkabili Mh Kimbe , pamoja na mambo mengine imesababishwa na yeye kugoma kutoa flash / cd iliyotumika kurekodia watoa rushwa ya ushawishi wa mil 200 ( imehifadhiwa Chadema Makao Makuu )
Natoa wito kwa TAKUKURU Iringa kuacha kutumikishwa kwa malengo binafsi , wakuu wa mikoa wanapita tu lakini Taasisi hii ya umma itabaki , wasijiingize kwenye michezo michafu maana hawana kinga yoyote huko mbeleni .