Meya CHADEMA azikataa milioni 200 za CCM

Meya CHADEMA azikataa milioni 200 za CCM

Kila siku tumekuwa tukishangaa hivi wanaounga "Juhudi" waga ni wabunge na madiwani wa kuchaguliwa tu, mbona wale wa viti maalum hawaungi???

Kumbe kodi zetu ndio zinatumika kuchochea uungwaji juhudi. Kwa hali hii ndio maana ulipaji kodi kwa wananchi wengi inakuwa ni shida kwani haya sio matumizi yake na kisha tena nchi inazunguka na bakuli kwa akina WB, IMF na wafadhili wengine kuomba msaada. Very Shameful and Pathetic.
 
pombe wewe si fisadi ulikataa tuhuma za kuhonga zilizomkabili Mnyeti, bila uchunguzi ukamfanya RC..
pombe wewe si fisadi ulikataa kuunda tume juu ya trilioni 1.5 ambazo matumizi yake yalibainika kuwa hewa, ukajifanya tume ukasema ni uzushi wa mitandao..
pombe wewe si fisadi, naamini kwenye hili la kutaka kumhonga mayor hutaunda tume..
pombe wewe si fisadi lakini mpinzani chini ya uharamia wako kushinda ni zaidi ya ngumu.
 
Kwa hiyo biahashara ya utumwa inaendelea nchini mbona awamu ya kikwete sijawi kuskia tuhuma hizi za kununuliwa watu uenda ni kweli nashawishika kuhamini
 
JUMAMOSI , 17TH NOV , 2018
NA MWANDISHI WETU
Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini Alex Kimbe, amefunguka kuwa amekuwa akijikuta na kesi mbalimbali mahakamani kwa kile alichokidai kuwa ni hujuma anazofanyiwa na Chama Cha Mapinduzi, kwa kuwa amekataa kuhamia ndani ya chama hicho.



Meya%20Iringa.jpg

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini Alex Kimbe,.​
Mapema jana asubuhi kulianza kusambaa kwa taarifa kuwa Meya huyo wa Iringa Mjini, alikamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kwa madai ya kukutwa na fedha ya mtego zaidi ya shilingi milioni 2 na mzabuni Nancy Nyarusi.
Akizungumza Mjini Iringa Kimbe amesema “hii si mara ya kwanza kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali na wote wanaonishtaki ni makada wa Chama Cha Mapinduzi.”
Lengo la CCM ilikuwa ni kupata Meya anayetokana na Chama Cha Mapinduzi na walipoleta hoja hiyo ikashindikana kwa sababu walikiuka kanuni, na baada ya kufeli wakaamua kuniundia tuhuma mbalimbali.” Amesema Kimbe
Wanafanya yote hayo ili nikubali milioni 200, nijiunge nao na mara ya mwisho walinifuata baadhi ya viongozi wa CCM ili wanipatie hizo fedha na wanifutie kesi, na huu msimamo wangu ndiyo chanzo kikubwa haya yote.” Ameongeza Meya huyo.

Habari zaidi, soma=>Meya wa Manispaa ya IRINGA Alex Kimbe (CHADEMA) amekamatwa na TAKUKURU - JamiiForums
JUMAMOSI , 17TH NOV , 2018
NA MWANDISHI WETU
Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini Alex Kimbe, amefunguka kuwa amekuwa akijikuta na kesi mbalimbali mahakamani kwa kile alichokidai kuwa ni hujuma anazofanyiwa na Chama Cha Mapinduzi, kwa kuwa amekataa kuhamia ndani ya chama hicho.



Meya%20Iringa.jpg

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini Alex Kimbe,.​
Mapema jana asubuhi kulianza kusambaa kwa taarifa kuwa Meya huyo wa Iringa Mjini, alikamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kwa madai ya kukutwa na fedha ya mtego zaidi ya shilingi milioni 2 na mzabuni Nancy Nyarusi.
Akizungumza Mjini Iringa Kimbe amesema “hii si mara ya kwanza kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali na wote wanaonishtaki ni makada wa Chama Cha Mapinduzi.”
Lengo la CCM ilikuwa ni kupata Meya anayetokana na Chama Cha Mapinduzi na walipoleta hoja hiyo ikashindikana kwa sababu walikiuka kanuni, na baada ya kufeli wakaamua kuniundia tuhuma mbalimbali.” Amesema Kimbe
Wanafanya yote hayo ili nikubali milioni 200, nijiunge nao na mara ya mwisho walinifuata baadhi ya viongozi wa CCM ili wanipatie hizo fedha na wanifutie kesi, na huu msimamo wangu ndiyo chanzo kikubwa haya yote.” Ameongeza Meya huyo.

Habari zaidi, soma=>Meya wa Manispaa ya IRINGA Alex Kimbe (CHADEMA) amekamatwa na TAKUKURU - JamiiForums
Watakaoelewa maelezo ya meya ni manyumbu.ni kawaida yao kujitekenya na kucheka
 
Maendeleo kwetu ni ndoto. Siasa inameza fungi kubwa sana la kodi zetu. Leo wanafunzi wanahaha wamenyimwa mkopo na heslb.
 
Tuliochagua kuukataa moja kwa moja utawala huu kutokana na makandokando yake kama haya, hatujawahi kukosea na kamwe hatuna cha kujutia.

Sometimes ni bora shetani kuliko binadamu wa aina hii!!

Unajiuliza wanaofanya hujumu kama hizi wanapata wapi uhalali wa kukamata wengine kwa makosa ya rushwa na ufisadi na kamwe huwezi pata jibu.

Hizi ni siasa chafu na za hovyo zinazoweza kufanywa na watu walioshindwa ku-deliver na ambao uwezo wa kufikiri umefika mwisho.
Najiuliza huyo meya kama walitaka kumuonga hiyo Mili 200 hakujua ofisi za takukuru zilipo ili wakamatwe kama alivyokamatwa na mil 2
 
Watu hovyo ni wale wenye ushahidi na wakauficha, kama hamna ushahidi wacheni jazba za kijinga. Ushahidi ni kitu muhimu sana kukufanya ukweli wako uonekane na upate support ya kila upande
Ushahidi WA mbunge nasari mliufanyia kazi baada ya kutolewa?
 
Huyo atakufa maskini...na 2020 halambi udiwani wala jimbo arudi kwao akalime mihogo
Hapaja wahitokea maiti tajiri wala maiti masikini isipokuwa kuna msiba Tajiri na masikini. Hivyo kufa ni kufa tu!
 
Back
Top Bottom