Mwenzako akinyolewa : Kuwa kichaa na wachague vichaa!Tuendeleeni tu kuwakenulia wavimba machoView attachment 860233
Believe me!Time will tell...
BuhahhahahaBelieve me!
Trust me on this one walahi!
‘Mataifa wataleta vipawa na mali kwetu Tanzania ‘ kwa kuwa wameamrishwa na Mwenye Enzi Mungu walahi!
DNA siyo uniform walahi!
That’s all!
prayers or you are prophesying?Believe me!
Trust me on this one walahi!
‘Mataifa wataleta vipawa na mali kwetu Tanzania ‘ kwa kuwa wameamrishwa na Mwenye Enzi Mungu walahi!
DNA siyo uniform walahi!
That’s all!
kabudi akiwa nje alisema nchi inekopeshwa trilion moja na bank ya dunia ambayo tutapaswa kulipa baada ya miaka 40Ukiona mtu anakupa mikopo na zawadi nzuri ambazo huwezi kumlipa basi atakuja kukuoa siku moja hata kama ni Mwanaume mwenzako.
(Nimetumia mfano mkali sana maana kuna mtu anaweza kuolewa miaka ya hivi karibuni)
Jana nimetaka kujua namna ya kukopa Pesa benki ya dunia kwa dhamana ya Nchi yangu, nikifanikiwa hakika nitakopa mkopo mkubwa kisha nitokomee.kabudi akiwa nje alisema nchi inekopeshwa trilion moja na bank ya dunia ambayo tutapaswa kulipa baada ya miaka 40
unajua wame focus nn? miaka hiyo 'stiglaz goji' na mradi wa treni utakuwa umesha kaa vizuri kwahiyo tukishindwa kurejesha mkopo
wataweka under control kimoja wapo kama sio vyote ili kujilipa. Kizazi cha baadae watajiuliza ina maana akina mbazo za mawe walikuwa vichaa kusaini makubaliano ya aina hii?