Methali mpya

Methali mpya

Raha ya kupuliza vuvuzela uwe haujaishi Mombasa
 
1. kama kuoga ni usafi usifue taulo
2.Aliye juu mpandilie huko huko
3.Pole pole ni mwendo wa mgonjwa
 
hahahaha this is very interesting....miye nachojua methali za kizamni tuu zile za shuleni.....duuh!...
Binti Maringo Avatar yako kama inachanganya mambo kidogo ukiitazama sana au labda nina poor vision.
 
Ukiona mwanasiasa anakupigia goti jua ukimpa kura utapiga wewe
 
Mjinga uona miti tu, mwelevu uona mbao na faida zake.

Mjinga uona ardhi tupu, mwelevu uona mazao.

(methali za kizungu kuupiga uvivu na ujinga)
 
Kweli Kiswahili kigumu, yaani sijaelewa kitu.
ndugu, ni kuwa jiwe hilo linakaa majini. huo mtende uko jangwani. tende hupatikana sehemu kavu. sasa ni kama kusema mwenye shibe hamjui mwenye njaa
 
Back
Top Bottom