CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mwenda tezi na omo . . .
ukijibu nawe unasema methali yako
ukijibu nawe unasema methali yako
Mwenda tezi na omo . . .
ukijibu nawe unasema methali yako
Mwenda tezi na omo . . .
ukijibu nawe unasema methali yako
ukipema sipema tena!!!urudi na foma
pema haujapo pema?
Mwenda tezi na omo . . .
ukijibu nawe unasema methali yako
mla jana kala nini!...amechoka kufulia kipande.
Mla mla leo...
mla jana kala nini!
Usione vya elea?
Lol....
marejeo ngamani, nimepataaaa
mgaa gaa na upwa.....
urudi na foma
pema haujapo pema?
Mla jana kalani !
Simba mwendapole? Hii naijibu mwenyewe kwa vile ni ngumu!
Simba mwendapole anamuogopa Yanga/Azam .
Afatae ajibu hii :- Uzima na ubora wa Chandarua ?
hali wali mkavu
ganda la muwa la jana. . . .
chungu kaona kivuno
baniani mbaya.....
Mla jana kalani !
Simba mwendapole? Hii naijibu mwenyewe kwa vile ni ngumu!
Simba mwendapole anamuogopa Yanga/Azam .
Afatae ajibu hii :- Uzima na ubora wa Chandarua ?
ukipema sipema tena!!!
mbio za sakafuni