pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,594
- 2,981
Jamani kutoka Jana hadi leo nimekwishapata message zaidi ya 20 za kijinga kutoka Airtel, na bado zinaendelea kuingia: mara kuhusiana na English premier league, mara call now for free to get todays offer ...., nk. Kibaya zaidi ni kwamba meseji zenyewe zinajirudiarudia. Inachosha ile mbaya.
Kama kuna anayejua namna ya kublock meseji hizi kutoka airtel anipe ujanja tafadhali.
Kama kuna anayejua namna ya kublock meseji hizi kutoka airtel anipe ujanja tafadhali.