Ishmael sijaelewa kama unasema waisraeli na waarabu/waislamu ni sawa hivyo waepukwe au unataka kusemaje? Vinginevyo sioni mantiki ya kuposti hizo picha za watoto wa kiislamu ("presumably").
Halafu wewe si huwa unasema Allah ni shetani, sasa kuna ajabu gani kwenye hayo matukio yanayohusisha waarabu/waislamu?! Kwa mtu kama wewe sitegemei utoe picha za kuonesha ubaya wa uislamu kama majibu ya uovu wa Israeli maana tayari unaamini waislamu na uislamu ni uovu.
Nimekuuliza unaamini Israeli ni taifa teule? Kama ni ndio, unasemaje kuhusu hiyo tabia ya kibaguzi waliyonayo?
Sasa kwa mfano tuseme uislamu ni utumwa hii inakusaidiaje kuhalalisha wanachofanya wayahudi?!! Au ubongo wako una shoti sehemu?