Message kwa waafrika wanaoishi Israel

Message kwa waafrika wanaoishi Israel

Zamani na mm nilikuwa mmoja wa wanaoisujudia Israel kwamba Ni wateule kweli
But one day nikiangalia aljazeera miaka Ya 2007 nikaona mashoga na wasagaji wa Israel wamendamana nikashangaa sana akili yote ikavuruguka nikaona Kumbe hata wateule wapo mashoga!!
Walipoipiga Palestine na phosphorus bombs nikawachukia zaidi
Sasa kipindi chote hiko sikuwahi kukubania na muisrael
Mwaka jana 2014 nilifanya kazi na waisrael wawili na mmoja Ni boss Mkubwa tu hapa bongo. Ingawa nilikuta kuna wabongo wanaoisujudia nao kazi but nikawaelewa zaidi
Sio waisrael wote wanaamini Mungu
Waisrael wamekuwa affected sana na vitabu asilia vyao na sio biblia
Waisrael Ni wakorofi hata wao kwa wao
Waisrael sio wakristo Ni wayahudi
Waisrael wanaamini wao always wapo right hata kama wanashauri ujinga
Hiyo inaprove wanatuunderstimate kwa kila kitu
Kwa kifupi Ni wabaguzi sana mpaka wanakuwa wajinga
Pia nilipata kuona some sort of uchawi katika office Ya muisrael mmoja
 
Bora Mkweli kuliko mnafki.
Asante kwa ujumbe:amen:
 
Huwa nashangaa sana hawa wanapoitwa "Taifa Teule" hivi kama ni wateule wa Mungu wanaweza kuwa na chuki za kutisha hivi kwa binadamu wenzao kwa sababu tu ya rangi ya ngozi zao!?

Israel gave birth control to Ethiopian Jews without their consent - Middle East - World - The Independent

Historia inaonyesha pia walipojisahau wakaenda nje ya mstari, waliwajibishwa sana. Zile amri kumi za Mungu ndio kioo cha kupima kuwajibika kwetu. Wakiendelea kuzidharau watapotea nje ya mstari soon or later
 
Watanyania wanaongoywa kwa kutokujua, kwanya waisrael wengi hawaamini kuhusu YESU

Ishmael
Wanamuita mwanaharamu !
Kwa sasa Obama hana hamu nao kwa jinsi wanavyo mpelekesha kwa uongo juu ya Iran
 
Last edited by a moderator:

My post shows about the negative and damned shame of Israel citizen doing to Africans. It doesn't have anything to do with your belief or any matter of faith of somebody. What I don't understand you, why you are so angry and take it too personal? Yesterday I told you, I'm not either christian, or muslim but you can believe in Christ or whatever it is, I'll still respect you... And what you are doing on my profile, it shows me how weaked you are. Stop dirty game and behave like gentleman.
 
Mimi sijui nikoje, mbona naona poa tu. Kwani mimi nikikataa watu fulani kuja nyumbani kwangu ni kosa? Sasa inakueje wa israel,wazungu wengine wanapokataa mataifa mengine waje kulowea kwao iwe issue. Wewe kama mtanzania au msomali una haki gani ya kudai ukae huko kama sio mkimbizi?
Kwenu mharibu halaf muende kwa wenzenu mdai haki ya kukaa huko. Its ridiculous na mimi sielewi kabisa naomba kujulishwa.

Tatizo sio kuishi Israel tatizo ni lugha aliotumia kufikisha ujumbe, ubaguzi ubaguzi ubaguzi!!!!!! na wewe una elements za ubaguzi
 
Unasikia wewe bwabwa muoga kama kunguru, haki yako iko mahali popote pale duniani na watu wanapambana na ubaguzi 24/7 badala ya kunyoosha mikono juu na kudai kwamba oh! hakutakuja kuwa na fairness hapa duniani au kuandika pumba kama za kwako oh! Wazungu wako kwao hivyo huwezi kuimpose values kwa wazungu. Haki ya binadamu hapa duniani bila kujali rangi zao ipo popote pale duniani na pale ambapo haipo inapiganiwa bila kuchoka mpaka ipatikane.

wewe dunya una haki gani unazozijua zaidi ya kuandamana ili sheria ikuruhusu kugawa tako?mbona hujibu maswali yangu,vipi mama yako mshono wake wa fistula umeshapona,au bado anajinyea kupitia njia ya mkojo?
 
Nawatia moyo ndugu zangu, wala msife moyo kwa upumbavu huu wa hawa wanaoitwa Taifa la Mungu. Mungu alishawaacha siku nyingi maana walimkataa (Mungu). Ni taifa ambalo ni dhaifu sana na haliwezi kwenda kwa nguvu zake lenyewe bila msaada wa Mungu. Mungu mwenyewe ameshawaadhibu mno na ataendelea kuwaadhibu kwa kuwa ni taifa kaidi. Ni kwa kuwa tu aliweka agano la milele na Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ni taifa ambalo lilishamkataa hadi Yesu, hadi leo hawamtambui. Itakuwa kwa mwanadamu, tena mwafrika? Someni hapa kwa wanaoamini maandiko:

Kumb: 7: 6-9; kwa maana wewe u taifa takatifu kwa Bwana; Mungu wako. Bwana Mungu wako amekuchagua kuwa watu wakehasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa dunia

7. Bwana hakuwapenda ninyi, wala hakuwachagua ninyi, kwa sababu mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, maana mlikuwa wachache kuliko watu wote;

8. bali kwa sababu Bwana anawapenda, na kwa sababu kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu, ndiyo sababu Bwana akawatoa kwa mkono wa nguvu, akawakomboa katika nyumba ya utumwa, katika mkono wa Farao, mfalme wa Misri...

Hao ndio wana wa Israel. Mkisoma tangu kitabu cha Kutoka hadi waamuzi, na kuendelea ndio utagundua ukaidi wa hawa watu. Hata wakati wanateketezwa na Hitler ulikuwa ni mpango wa Mungu maana huwa anawaadhibu mno ila hurudisha moyo wake pale ambapo wanakiri na kutubu, ila hawakomi. Tuwachukulie hivyo na wala wasituumize vichwa
 
Kwa hiyo waafrika wakibaguana ndio inafanya kuwa sawa waisraeli kubagua waafrika?!! You need some serious check with your reasoning ability.

Waafrika wengi ubaguzi wanauona pale tu unapofanywa na caucasians au wa-asia kwa wa-afrika.Lakini muafrika akimbagua muafrika mwenzake au hata mzungu au muasia,ah ni poa tu.Hata hatuoni vile tunavyobaguana wenyewe kwa wenyewe.Tuukubali ukweli huu kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole wengine.

Waafrika tuache kubaguana,tuache ubinafsi na ufisadi.Tujenge uchumi wetu vizuri,tuboreshe huduma za kijamii,ili siku moja wazungu nao waje kwetu kutafuta maisha.Hili ndilo litaweza kupunguza au kuondoa kabisa ubaguzi wa mzungu kwa muafrika,na siyo kulialia kwenye mitandao!
 
We unaishi dunia gani? Kwenu ulikuja napo wakati unazaliwa? Kwa dunia ya leo watu waliostaarabika wanapigania uhuru wa mtu kukaa popote anapotaka mradi tu asivunje taratibu za sehemu husika.
Kwahio mharibu kwenu halafu mkimbilia kwa wenzenu halafu muanze kudictate matakwa yenu? Mfano waarabu walioko europe wanavyofanya au wazungu walioko uarabuni wanavyofanya. Bakini kwenu huko mwende kutembea tu. Nitakuja na more concrete arguments if need be.
 
Kwa hiyo ww unaona poa kuambiwa urud jungle,hahahaahahaha au wewe ni soooo......kw e mtu?
Unajua if you feel inferior to those people ndio you will take insult at what they say. Sasa hata akisema rudi to your toilet what effect does that have kwangu? Ni nchi yangu naipenda na naijua mimi, it doesnt matter an iota yeye anaifikirieje nchi yangu. Kwani yeye nani? Mbona wewe ukitukana nchi yake anakucheka, kwanini yeye akiita yakwako jungle unaumia? Lazima unamwona yuko jua kiasi kwamba judgment yake inakuumiza wewe roho.
 
Tatizo sio kuishi Israel tatizo ni lugha aliotumia kufikisha ujumbe, ubaguzi ubaguzi ubaguzi!!!!!! na wewe una elements za ubaguzi
Ubaguzi ni an inherent human trait, infact animal trait. Wewe utakua hauko sawa kichwani kama unaamini binadamu wote ni sawa wakati tofauti ziko wazi. Aknowledging our differences doesnt make one racist, ila kujiona bora kuliko mwingine hio ndio racism.
Jamaa hawawataki nchini kwao kwasababu mnatibua maisha yao, wakiwaomba muondoke mnasema ni racist! How? Nchi zao za kikristo nyie mnataka kujenga misikiti. Jamaa wachapakazi, nyie mnataka hand outs. Go back to your jungles and make them "beuatiful" as their cities.
 
Kwahio mharibu kwenu halafu mkimbilia kwa wenzenu halafu muanze kudictate matakwa yenu? Mfano waarabu walioko europe wanavyofanya au wazungu walioko uarabuni wanavyofanya. Bakini kwenu huko mwende kutembea tu. Nitakuja na more concrete arguments if need be.

Umesoma ukamaliza nilichoandika?
 
Very funny of you. But you comprehend a picture as evidence that Israelis hates black people. You need to come out of the hate box.

Those are Muhammadans chained by muzzratagastans.
Haya sawa.
 
Waafrika wengi ubaguzi wanauona pale tu unapofanywa na caucasians au wa-asia kwa wa-afrika.Lakini muafrika akimbagua muafrika mwenzake au hata mzungu au muasia,ah ni poa tu.Hata hatuoni vile tunavyobaguana wenyewe kwa wenyewe.Tuukubali ukweli huu kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole wengine.

Waafrika tuache kubaguana,tuache ubinafsi na ufisadi.Tujenge uchumi wetu vizuri,tuboreshe huduma za kijamii,ili siku moja wazungu nao waje kwetu kutafuta maisha.Hili ndilo litaweza kupunguza au kuondoa kabisa ubaguzi wa mzungu kwa muafrika,na siyo kulialia kwenye mitandao!
Mkuu kuna sehemu kwenye huu uzi waafrika wanatetea kubaguana? Hii ni sawa na wewe uhojiwe juu ya ubadhirifu halafu useme mbona kuna mwingine naye ni mbadhirifu, kweli inakuingia akilini hiyo?
 
Mkuu kuna sehemu kwenye huu uzi waafrika wanatetea kubaguana? Hii ni sawa na wewe uhojiwe juu ya ubadhirifu halafu useme mbona kuna mwingine naye ni mbadhirifu, kweli inakuingia akilini hiyo?

sijui kama umeielewa sawasawa hoja yangu.naomba urudie kunisoma.charity begins at home mkuu,kama umeshindwa kutengeneza kwako na kuanza kutangatanga kwenye majumba ya watu,hata kwenye familia ndugu watakusimanga na watakubagua.Kama baba ni wa hovyo,mvivu,mzembe,ombaomba na haijali familia yake;anapata wapi moral authority na guts za kumhoji jirani yake mwenye tabia kama zake?
 
Sasa mdogo mdogo naanza kuelewa kwa nini hitler alikuwa hawapendi hawa watu
 
Wa Africa na sisi tumezidi kiherere....Hawa Jews wapo kila nchi duniani na average yao ni almost 1% kwa kila population ya nchi zote duniani, wao wanajua kufanya yao..sisi huku ni kelele na kuwa shobokea.watazidi kututawala na sisi tutaendele kutumia majina yao kuwaita watoto wetu na kuiga mbinu zao..
 
Back
Top Bottom