Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Mimi sijui nikoje, mbona naona poa tu. Kwani mimi nikikataa watu fulani kuja nyumbani kwangu ni kosa? Sasa inakueje wa israel,wazungu wengine wanapokataa mataifa mengine waje kulowea kwao iwe issue. Wewe kama mtanzania au msomali una haki gani ya kudai ukae huko kama sio mkimbizi?
Kwenu mharibu halaf muende kwa wenzenu mdai haki ya kukaa huko. Its ridiculous na mimi sielewi kabisa naomba kujulishwa.
Hakika.
Kila mtu akae na kutulia kwenye nchi yake.
Mnaenda kwenye nchi za watu kutafuta nini huko..??
Sio kila kukicha waafrika 'wanazamia' nchi za watu huko.
Mbona wazungu hawaji huku kwetu kiholela, na kuzuruna na kufanya uhalifu mitaani.??
Mimi sikaenda nchi za watu kiholela, kuna wakati nilienda Kenya kikazi, yaani nilijisikia 'kinyaa' huko, nikarudi fasta.
Hapo jamaa kwenye bango lake, 'anawabembeleza' waafrika warudi kwao.
Jamaa kaandika '...please , go back to your land...'