message kwa boss

tz1

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
2,121
534
Jamaa alikuwa amechelewa kazini,kwa kuwa foleni ilikuwa ndefu.
Akawa anamtumia boss wake ujuembe kama atachelewa,
baada ya kumaliza message akawa anataka kubonyeza 'send'
simu ikaporwa.Mwenye simu aka anza kumpigia mwizi kelele,
Tafadhali bonyeza send.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom