Jamaa alikuwa amechelewa kazini,kwa kuwa foleni ilikuwa ndefu.
Akawa anamtumia boss wake ujuembe kama atachelewa,
baada ya kumaliza message akawa anataka kubonyeza 'send'
simu ikaporwa.Mwenye simu aka anza kumpigia mwizi kelele,
Tafadhali bonyeza send.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.