amoneyazan
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 698
- 472
Ati hamfati chumbani??Hiyo ni moja ya thread yako wewe mtoa mada! Ain't you a zombie!?
What the HELL is dis...
Ati hamfati chumbani??Hiyo ni moja ya thread yako wewe mtoa mada! Ain't you a zombie!?
Wewe ni mwanae au HG?Baba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
Labda anachanganya namba yako na ya mama yako, mueleze.Baba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
Kashaliwa aiseeIko hivi ndugu, katika majaribio kadhaa niliyowahi kusikia wazazi wanaanzaje na baba zao ni mbinu mojawapo walizitumia na ukijifanya kulegeza unaliwa mchan kweupe, nakuhakikishia baba amedhamiria huwa tunakosea mara moja lakini sio mara mbili tatu! Na si ajabu ameanza ushirikina kaa chonjo utaliwa.
Baba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
Daaaah,,,, inabidi uwe Makini sana kiukweli na Mzee wako!!!!Kashaliwa aisee
Hzo text ztakuharbu kisaikolojia,chamuhmu mwambie mama yako ili afkshe ujumbe kwa mumeweBaba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
️
️ hii uyu bibie ana kipaji cha kutunga hadithiMchangamsha majukwaa huyu hakuna realityText umezikaushia mpaka umebakwa dah!!
Baba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
Leo umetuma thread:Baba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?