AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
ameandikaje labda ili tupate kukusaidia. pengine hata sio za matusi.Baba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani. Ananiuliza nyumbani nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Meseji sio nzuri, ni meseji za mapenzi na nyingine matusi. I find it really disrespectful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenyewe.
Je nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze maana mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?