Reforward kwakebBaba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani ananiuliza nyumbani kuna nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Mesej sio nzuri meseji zaa mapenzi nyengine matusi. I find it really disrespectiful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenywe. Nifanye nini, nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze na mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
Ina maana haja save namba yako?bBaba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani ananiuliza nyumbani kuna nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Mesej sio nzuri meseji zaa mapenzi nyengine matusi. I find it really disrespectiful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenywe. Nifanye nini, nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze na mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
bBaba yangu akiwa anatoka kazini anajua mi nakua nipo nyumbani ananiuliza nyumbani kuna nini hakuna namuandika kwa meseji anapitia supermarket ananunua analeta nyumbani.
Leo siku ya nne anakosea kutuma meseji badala atume kwa mama anatuma kwangu. Mesej sio nzuri meseji zaa mapenzi nyengine matusi. I find it really disrespectiful, sitakiwi kujua mambo wanayofanya wakiwa wenywe. Nifanye nini, nimwambie kama anakosea kutuma au ninyamaze na mi sitaki kuona meseji zake kama hizi.
Nifanye nini?
Ushauri mzuri ni huo wa kwanza, amuulize tu kuwa Baba hii ni meseji yangu? asisahau kuandika Mimi mwanao (fulani)Mwambie kwa kumrushia hizo text na chini yake muulize hii meseji inanihusu kama unaogopa mpe simu mama yako muonyeshe hizo meseji wamalizane wenyewe
Pia ni wazo zuri, mblock tu.si umbock tu aiseeee.........
usiusemee moyo mama,so unavyofikiri kwenye simu yake amekusave jina la your mumy? anyway mtazamo wangu lakinhawez kunitumia mesej km hizi