Angalia hizo sms zinamhusu nani?Ww au mzaz wako. Km ww mwambie tena leo leo, ukikaa kimya ataona hata ww unafurahia ndio maan umekaa kimya. Km zinamhus mzaz wako sikilizia kwanz mpaka zifike siku 10 ukiona bado anatuma anafany maksud km kukosea huwa ni mara 1 au 2 lkn hazid hapo. Mpe makavu live anafany maksud tu.Ukiwa mtu mweny hekima na busara huwez kutumia maneno ya ajabu ajabu hat km unamtumia mwandani wako. Kuna tafsida unaweza tumia peny k unaweka tunda, pipi n.kmm ilishawah kunikuta badala nimtumie wife nikamtumia mama mkwe. Wife akanipigia simu kuunilza umemtumia mama sms gan? kuja kushtuka duh! Fasta nikampigia mama mkwe nikamuomba msamaha, sms ilikuwa ya mapenz. uzuri mm huwa sina tabia ya kutumia maneno ya ovyo ovyo sbb najiheshimu na ni mwanaume ninayejielewa na pia wife nimwelewa sana. Kutumia maneno ya ovyo yanashusha heshima sana, unaweza ukaona kawaida lkn yana negative impact kubwa sana.