Merry X- mass Godbless Lema Ukiwa Gerezani

Lancanshire

JF-Expert Member
Sep 20, 2014
14,043
10,326
Habari zenu,
Nachukua Fursa hii adhim kumtakia Kamanda Godbless Lema Siku njema ya X- mass akiwa Gerezani .
Napenda kumhakikishia kuwa haya ni mapambano ya kudai Haki na Uhuru katika nchi hii. Asijisikie upweke Watanzania wenye nia Njema na nchi Tuko pamoja nae.

Mabavu ya watawala tunayaona na imefanywa hivi kwa makusudi kama njia ya kukukomesha uache kusema serikali. Lakini napenda nikuhakikishie Lema we ni miongoni mwa mashujaa wachache katika nchi hii ambao wamejitolea nafsi zao ili kuleta utawala wa haki na demokrasia hapa nchini.Najuwa siku ya leo ulipenda uwe pamoja na familia yako lakini kwa sababu za Kisiasa wameamua ukae ndani.

Usihofu mateso yakizidi Ufalme unakaribia. Pole sana kamanda nakutakia sikukuu Njema ya X-mass ukiwa hapo Gerezani.
 
Akhsante Kamanda.,Ilikuwa nimtembelee leo sema iko team imenishawishi twende kwa pamoja kesho.,ninaamini yu imara na anaifurahia siku hii ambayo inaingia katika kumbukumbu zake.
 
Kesho hairusiwi mpaka Jumamosi na Jumapili
Akhsante Kamanda.,Ilikuwa nimtembelee leo sema iko team imenishawishi twende kwa pamoja kesho.,ninaamini yu imara na anaifurahia siku hii ambayo inaingia katika kumbukumbu zake.
 
Godbless Jonathan Lema Mungu akulinde uko ulipo mahabusu ni mtu mmoja ameamua kukuzuia hata kwenda kusherehekea sherehe ya leo na familia yako huyo mtu ameenda kanisani leo bila aibu ......FREEDOM IS COMING SOON
 
Habari zenu,
Nachukua Fursa hii adhim kumtakia Kamanda Godbless Lema Siku njema ya X- mass akiwa Gerezani .
Napenda kumhakikishia kuwa haya ni mapambano ya kudai Haki na Uhuru katika nchi hii. Asijisikie upweke Watanzania wenye nia Njema na nchi Tuko pamoja nae.

Mabavu ya watawala tunayaona na imefanywa hivi kwa makusudi kama njia ya kukukomesha uache kusema serikali. Lakini napenda nikuhakikishie Lema we ni miongoni mwa mashujaa wachache katika nchi hii ambao wamejitolea nafsi zao ili kuleta utawala wa haki na demokrasia hapa nchini.Najuwa siku ya leo ulipenda uwe pamoja na familia yako lakini kwa sababu za Kisiasa wameamua ukae ndani.

Usihofu mateso yakizidi Ufalme unakaribia. Pole sana kamanda nakutakia sikukuu Njema ya X-mass ukiwa hapo Gerezani.
e01d6674356a40e4b8b675def251b7d7.jpg
 
Who cares!

Makosa ya kujitakia wakati kuna watu wako gerezani kwa makosa kama ya kuua bila kukusudia.

Yeye yuko gerezani kwa makosa ya kukusudia bila kujua kama amekusudia. Ujinga una gharama.

Wajanja kama kina Tundu Lissu wako nyumbani wakisherekea sikukuu na familia zao kwa sababu wanafahamu vizuri mipaka yao kisheria na kisiasa pamoja na kuwa ni wanaharakati wa kisiasa.

Wajinga ndio waliwao!
 
..inapendeza kuona wanasheria wa serikali siyo wachovu, maana wana chama mfu mlizoea kujiita eti mawakili wasomi, naona usomi umefikia kikomo kamanda wenu ananyea ndoo leo sikukuu, na akome kabisa kudharau mamlaka
 
Who cares!

Makosa ya kujitakia wakati kuna watu wako gerezani kwa makosa kama ya kuua bila kukusudia.

Yeye yuko gerezani kwa makosa ya kukusudia bila kujua kama amekusudia. Ujinga una gharama.

Wajanja kama kina Tundu Lissu wako nyumbani wakisherekea sikukuu kwa sababu wanafahamu vizuri mipaka yao kisheria na kisiasa pamoja na kuwa ni wanaharakati wa kisiasa.

Wajinga ndio waliwao!

5ad99a7b9dbec54a9a85bc887dc9cd7c.jpg
 
Who cares!

Makosa ya kujitakia wakati kuna watu wako gerezani kwa makosa kama ya kuua bila kukusudia.

Yeye yuko gerezani kwa makosa ya kukusudia bila kujua kama amekusudia. Ujinga una gharama.

Wajanja kama kina Tundu Lissu wako nyumbani wakisherekea sikukuu na familia zao kwa sababu wanafahamu vizuri mipaka yao kisheria na kisiasa pamoja na kuwa ni wanaharakati wa kisiasa.

Wajinga ndio waliwao!
UMESEMA KWELI KABISA !
 
Who cares!

Makosa ya kujitakia wakati kuna watu wako gerezani kwa makosa kama ya kuua bila kukusudia.

Yeye yuko gerezani kwa makosa ya kukusudia bila kujua kama amekusudia. Ujinga una gharama.

Wajanja kama kina Tundu Lissu wako nyumbani wakisherekea sikukuu na familia zao kwa sababu wanafahamu vizuri mipaka yao kisheria na kisiasa pamoja na kuwa ni wanaharakati wa kisiasa.

Wajinga ndio waliwao!
Mnafiki mkubwa wewe sasa kilichokupeleka magereza ni kitu gani au kutafuta sifa...
 
Mchora katuni yuko sahihi kwa sababu hata katiba ya Tanzania inasema serikali haina dini kwa maana nyingine serikali ni pagani ndio maana baada ya serikali kusikia kuna mtu anatabiri kifo kwa mkuu wa serikali ikaamua kumuweka sehemu anayofaa ili afanye utabiri zaidi mpaka pale atakapotambua kuwa serikali ni pagani
 
..inapendeza kuona wanasheria wa serikali siyo wachovu, maana wana chama mfu mlizoea kujiita eti mawakili wasomi, naona usomi umefikia kikomo kamanda wenu ananyea ndoo leo sikukuu, na akome kabisa kudharau mamlaka
Kwa kamanda kunyea ndoo ni kawaida tu, wapo akina Mandela walinyea ndoo miaka zaidi 25 itakuwa kwa Lema mwezi nikuhakikishie tu pamoja na kutupa watu mto ruvu haitaturudisha nyuma...
 
Mchora katuni yuko sahihi kwa sababu hata katiba ya Tanzania inasema serikali haina dini ndio maana baada ya serikali kusikia kuna mtu anatabiri kifo kwa mtu mwingine ikaamua kumuweka sehemu anayofaa ili afanye utabiri zaidi mpaka pale atakapotambua kuwa serikali ni pagan

Vipi kuhusu Mzee wa Upako?
 
Kwa kamanda kunyea ndoo ni kawaida tu, wapo akina Mandela walinyea ndoo miaka zaidi 25 itakuwa kwa Lema mwezi nikuhakikishie tu pamoja na kutupa watu mto ruvu haitaturudisha nyuma...
Wewe uko nyumbani unasherekea sikukuu na familia yako halafu unamvika Lema kilemba cha ukoka. Wajinga ndio waliwao!

Eti kunyea debe ni kawaida kwa kamanda! Mbona wewe hunyei debe? Au wewe sio kamanda?

Tanzania kuna vituko!
 
Who cares!

Makosa ya kujitakia wakati kuna watu wako gerezani kwa makosa kama ya kuua bila kukusudia.

Yeye yuko gerezani kwa makosa ya kukusudia bila kujua kama amekusudia. Ujinga una gharama.

Wajanja kama kina Tundu Lissu wako nyumbani wakisherekea sikukuu na familia zao kwa sababu wanafahamu vizuri mipaka yao kisheria na kisiasa pamoja na kuwa ni wanaharakati wa kisiasa.

Wajinga ndio waliwao!
Vipi mbona hamjamkamata mzee wa upako kasema waandishi wote waliomwandika kwenye magazeti watakufa mapema mwakani?
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom