Merry Christmas and Happy, prosperous New Year 2013

Merry Christmas and Happy, prosperous New Year 2013

loungin_rover-img-1248.jpg
 
:majani7:
:majani7:.........................................................................
:majani7:
 
wapenzi wote wa soka. happy new year 2013.
may God give you another year that you may see Chelsea taking EPL.

Don't throw stones at me and see you next year
HT
 
Niko mji mdogo wa Katoro>GEITA,nikisubiri new year
Kuna baa moja nimefika kupata japo moja! Hii baa imezungushwa mapazia kwa nje,hivyo uwezi ona ya ndani! Aisee humu ndani kuna jukwaa kiaina, kuna vibint under 20 ivi,wamevaa nusu uchi,wanacheza,ile balaa!! Watu ni wengi kweli
**UPDATES*
Ukumbi umezimwa taa,wateja 2mebaki gizani, taa zimewashwa jukwaani katokea, michael jackson!! Huu mwaka una mambo!!
**UPDATES**
kwa kweli serikali ina kazi kutokomeza Gonjwa la ukimwi! Hawa mabinti cjui kule wazazi wao wanasemaje! Kwa sasa kuna mabinti kama 6 ivi!!, Samahani sana kuhusu Picha kwani nina kisimu fulani ivi kinazengua! KILA LA KHELI MWAKA MPYA WANA JF WOTE NAWAPENDA SANA KARIBUNI KATORO>GEITA
 
Nawatakia wote Heri na mafanikio katika mwaka mpya ujao wa 2013.

[video=youtube_share;9IsSpNWOavo]http://youtu.be/9IsSpNWOavo[/video]
 
Mwaka 2013 tujenge uadilifu ktk majukumu yetu ya kila siku.
Tuondoe chuki na mifarakano isiyo na tija hasa pale tunapokuwa na maoni na mtizamo tofauti.
Heri ya mwaka mpya wapendwa wote.
 
Heri na wewe.
Nilidhani kigogo mwingine kaja kuomba msamaha
 
jamani tumeuona mwaka heri kwa woteeeeeeeeeeee kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom