Merry Christmas and Happy, prosperous New Year 2013

Merry Christmas and Happy, prosperous New Year 2013

Wakuu JF Members.
Nasikitika sana kuwataarifu kwamba , Muda mfupi ujao kutokana na maeneo tofauti tunayoishi,
kila mmoja wetu atapoteza rafiki , aidha ampendaye sana au rafiki wa kawaida au adui yake kutokana
na alivyoishi naye 2012.

Hata hivyo tusihofu sana kwa hilo litakalotokea, kwani mara tu atakapopotea huyo rafiki yetu/yako
atatokea Rafiki mwingine 2013, ambaye kuishi vizuri au vibaya naye inategemea uwezo wake Mwenyezi
Mungu/Manani/ Allah na pia juhudi zetu wenyewe.

Ninawatakieni nyote Afya njema, Heri , Baraka na Mafanikio mema kwa Mwaka 2013.

Pamoja sana kwa Upendo.

MtemiwaWandamba.
 
Nafasi tena ya kipee ya Mi binafsi ya kusema ya kwamba hakika Bwana ni mwema kwangu na wewe mwenzangu unyesoma post hii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hakika tuna kila sababu ya kumtaja MUNGU kwani hakika anatuonekania na mpaka sasa tunapohesabu masaa na hata dakika kuuona mwaka mpya 2013!!!!!!!!!

CC;
Mungi
Mzee wa Rula
Lily Flower
Blaki Womani
PakaJimmy
Mtumishi Wetu
marejesho
Arushaone
Loner
Filipo
sweetlady
Crashwise
IGWE
Erickb52
Kabakabana
Preta
Jackbauer
Thomas Odera

Nina wengi sana wa kuwataja ila nimewaja hawa wachache kwa niaba ya wote nikiwatakia kila la KHERI yake Bwana na tuuone mwaka 2013 salama salimin,,,,,,,,,sina mengi ya Mi binafsi niseme tumtangulize MWENYEZI MUNGU na hata atuvushe tena bahari hili kubwa maana anaweza yote kwa uweza wake!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nafasi tena ya kipee ya Mi binafsi ya kusema ya kwamba hakika Bwana ni mwema kwangu na wewe mwenzangu unyesoma post hii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hakika tuna kila sababu ya kumtaja MUNGU kwani hakika anatuonekania na mpaka sasa tunapohesabu masaa na hata dakika kuuona mwaka mpya 2013!!!!!!!!!

CC;
Mungi
Mzee wa Rula
Lily Flower
Blaki Womani
PakaJimmy
Mtumishi Wetu
marejesho
Arushaone
Loner
Filipo
sweetlady
Crashwise
IGWE
Erickb52
Kabakabana
Preta
Jackbauer
Thomas Odera

Nina wengi sana wa kuwataja ila nimewaja hawa wachache kwa niaba ya wote nikiwatakia kila la KHERI yake Bwana na tuuone mwaka 2013 salama salimin,,,,,,,,,sina mengi ya Mi binafsi niseme tumtangulize MWENYEZI MUNGU na hata atuvushe tena bahari hili kubwa maana anaweza yote kwa uweza wake!!!!!
Asante sana LiverpoolFC nawe pia nakutakia Heri ya Mwaka Mpya 2013
 
Last edited by a moderator:
umenisahau Liver mwenzio, unaacha ni walk alone?
 
Amavubi; Kha ha ha ha ha ha haaaaa!!!! Mkubwa sijakusahau hata punje,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,nakukumbuka sana Best wangu Amavubi;

Na nikutakie kila la KHERI kuukaribisha mwaka mpya 2013 itakayokuwa na mafanikio mema Kamanda wangu


umenisahau Liver mwenzio, unaacha ni walk alone?
 
Last edited by a moderator:
Ni kitambo kimepita toka 01 Jna 2012 ianze hadi leo.
Nawatakia kila la kheri na mafanikio yenye baraka kwa mwaka unaoanza saa sita na dakika usiku wa leo
Mungu awabariki nyote.(member na wapita njia mtakaokatiza JF).
 
Wana JF, My Wishes For You Here are My Wishes for You… H ours of happy times wid friends and family A bundant time for relaxation P rosperity P lenty of love when you need it the most Y outhful excitement at lifes simple pleasures N ites of restful slumber (you know – dont’ worry be happy) E verything you need W ishing you luv and lite Y ears and years of gud health E njoyment and mirth A angels to watch over you R embrancez of a happy years! ...HAPPY NEW YEAR 2013
 
Tunapoelekea mwaka 2012 na kusogelea mwaka 2013, ninawatakia Amani ya Mungu kwa wana JF wote!
Mimi leo nusura nipate mkosi baada ya kugeuza gari kwa ajili ya kukwepa foleni, KUMBE..............nusura niuingie msafara wa Mkuu wa Kaya akitokea mnazi mmoja! OMG!! Kilicofuata ni kusimamishwa na Trafiki na kutakiwa kulipa faini!
Namshukuru Mungu TULIMALIZANA vizuri na trafiki yule!
Hivi nafunga ofisi nirudi nyumbani nipumzike nisubiri kwenda kanisani kwa ajili ya ibada ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka mpya-2013!
Nawasihi wana JF wenzangu tuwe makini barabarani ili tuumalize mwaka 2012 kwa AMANI!
 
pole sana,wengine tumetulia nyumbani tunausubiri mwaka na km Mungu atapenda kesho tutaenda kusali na kumshukru yeye kwa majaliwa yake kwa mwaka 2012.
 
There is always great thinking in this web page. Keep it up.

Happy New year 2013
 
......We are nearly at the end of the year... remember life is short don't break the rules; forgive quickly, kiss slowly love truly laugh uncontrollably, and never regret anything that make you smile ......................wishing you happy new year 2013...............................
 
With only a few hours left, i would like to wish all members of Jamii Forums a happy new year 2013 and may the Good Lord Bless you through out the year
 
Happy New Year 2013 to you all, may God crown your efforts with success!
 
.....................We are nearly at the end of the year... remember life is short don't break the rules; forgive quickly, kiss slowly love truly laugh uncontrollably, and never regret anything that make you smile ......................wishing you happy new year 2013.......................... .....
 
WanaJF wote nawatakia kila la heri. Hongereni kwa kuelimisha Jamii ya WaTz kwa mwaka 2012 na kuufanya uwe mwaka wa kufahamu mengi ambayo wasingefahamu. Keep on.:israel:
 
WanaJF wote nawatakia kila la heri. Hongereni kwa kuelimisha Jamii ya WaTz kwa mwaka 2012 na kuufanya uwe mwaka wa kufahamu mengi ambayo wasingefahamu. Keep on.:israel:
Asante sana mkuu,naombea mambo yawe mazuri zaidi ya 2012,happy new year 2013.
 
Ikiwa imebaki saa chache kufika 2013 nawatakia wana JF wote mwaka uwe wa mafanikio Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom