uwe mwanachama hata wa chama cha mafisadi, lkn ukiwa bungeni kijana, taifa mbele, rekebisha kengeza hilo hata kwa miwani.
kwa hiyo unakubali kuwa si rahisi kufanya kazi bila kufuata maagizo ya chama ambacho wewe ni mwanachama wake?
uwe mwanachama hata wa chama cha mafisadi, lkn ukiwa bungeni kijana, taifa mbele, rekebisha kengeza hilo hata kwa miwani.
Kwa kuwa Mkemia Mkuu ni Msukuma lazima kuwe na mgongano wa maslahi, kule Usukumani mtu hata akiwa na mamilioni wao huita "VIJISENTI" kutokana na hilo majibu ya "unga unga wa Chenge bila shaka Mkemia Mkuu atatoa jibu la "Yalikuwa maunga unga ya ugali"
kwa hiyo unakubali kuwa si rahisi kufanya kazi bila kufuata maagizo ya chama ambacho wewe ni mwanachama wake?
vijana wa dizaini yako hatuwakati bungeni period. Kwa dizaini hiyo ya kujikomba mtalambishwa vya wanaume wenzenu. Bungeni kwa maslahi ya taifa sio chama.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nitatoa mfano wa masuala matatu tu. Kwa mfano, suala la nishati ni suala la Usalama wa Taifa, national security concerned ilikuwaje nchi yetu ikaingia mikataba ya nishati bila clearance ya Usalama wa Taifa. (Makofi)
Mama, miye sina mpango wa kwenda bungeni. Ningekuwa na huo mpango ningesema. Kukiwa na kitu cha kufanyika, mimi namwambia Mwenyekiti wangu Kikwete na yeye anashughulikia mara moja.
Kwa mfano, ile issue ya uwanja wa fisi inashughulikiwa hata hivi sasa tunavyojadili hapa. Asante
Kama USALAMA WA TAIFA NI USALAMA WA WANANCHI...THEN KWANINI HAWAKUONYESHWA HIYO MIKATABA?
NA KAMA KUNA WALIOONYESHWA...THEN HAO NDIO MAFISADI..TUKAMATE HAO KWA KUANZIA LA SIVYO MTAIVURUGA NCHI!
NI MAONI TU.
Good job Bw.Zitto lakini experience inaonyesha speech hizi zinaishia hewani tuu na hakuna chochote kitakacho badilika,sasa kuna bill yeyote mezani umetayarisha unayotaka kuweka bungeni ili kubadilisha hayo mambo uliyozungumzia? action plseee!
kwa nini EPA, richmond na meremeta hazijashughulikiwa hadi leo. Ina maana suala ya uwanja wa fisi ndio priority? unajua kuwa kama sio mafisadi kuifisidi nchi leo uwanja wa fisi kusingekuwa na hali iliyopo? je unajua kuwa root course ya yanayotokea uwanja wa fisi ni umaskini? Jiulize ukipata jibu take a right direction
Yote haya yanashughulukiwa mama wewe tulia tu uone Kikwete akifanya kazi aliyotumwa na wananchi.
huku kutuliza ndio mmnetuliza kwa miaka 45, chama mtakiona kigumu mwaka huu. Mungu ibariki Tanzania
wewe si umeona wapinzani wanavurugana na kukimbizana wenyewe. Hiki chama ndio mwanzo kinajiandaa kukamata hatamu zote toka Kigoma hadi pemba.
Kama kulikuwa hakuna clearance ya usalama wa TAIFA na hapo hapo MIZENGWE MPINDA HAKI AKADAI NI YA USALAMA WA TAIFA...THEN WALA HASIRUDI BUNGENI!
ABAKI HUKO HUKO ALIKO!
KWANI SIDHANI KAMA ANA CHA KUSEMA TENA!
NA AKIJARIBU...TUTAMWULIZA ATUAMABIE NI KINA NANI HAO WA USALAMA WA TAIFA WALIOIPTISHA MIKATABA HIYO BILA CLEARANCE YA WANAUSALAMA WANAOHUSIKA.
AMA KUNA USALAMA ZA TAIFA MBILI?
KAMA HIVYO...TUNAJUWA KUNA MOJA YA MAFISADI...NA NYINGINE YA WAZALENDO.
...kuanzia sasa ni bora mikataba yote ambayo serikali inaingia kuhusu Taifa letu iwe cleared na usalama wa taifa kabla ya kupitishwa.
Una assume kwamba Usalama wa Taifa wao sio mafisadi.
Ukiangalia viongozi wa juu wa Usalama, hususana waliotoka kustaafu (hawa wa sasa hivi sifahamu kwa sana) wanavyo ishi na mali waliyojilimbikizia, sidhani kama mishahara yao ingetosha kufanya mavitu yao.
Tusi assume kwamba ukiwapa wao ulinzi wa mali ya Umma basi itakuwa poa.
Hata Plato ali spin alipoulizwa "nani atalinda walinzi"?