Ingenoga kama ungeweka picha za zenye dashboard nzuri ili tulinganishe, ...
Wewe unatakiwa kuwekwa viboko haiwezekani gari iwe ya kifahari iwe na dash board mbaya, wewe viboko vinakuhusuMoja ya vitu ninavyoangalia katika kutathmini mvuto wa gari ni dashboard au sehemu ya mbele ya gari pembeni ya usukani.
Mercedez Benz na BMW ni magari yanayoheshimika sana na yamebaki na quality zake ya ubora ikiwemo brand zinazothaminiwa, engine na uimara kwa miaka mingi.
Kwa muonekano wa nje, hakuna gari ninayoikubali kama Mercedez Benz.
Ila pamoja na kuboresha muonekano wa nje uwe wa kisasa zaidi, dashboard zao bado zinakosa mvuto. Hazina nakshi ambazo gari nyingi za kileo wanaweka pale mbele.
View attachment 1630887
View attachment 1630888
View attachment 1630901
Audi wako vizuri kwa interior quality lkn pia hiyo picha ni ya Audi S8, hiyo ni sport version kwa maana nyingine top end Audi hivyo ni bora pia ungetafuta picha ya Mercedes S Class AMG au BMW Alpina b7 halafu ndiyo mlinganishe, picha ya mleta Mada ya kwanza ni Mercedes C Class tena ya zamani, ...
Mkuu, kwa maoni yangu dashboard ili ivutie inabidi kwanza iwe pana kwa urefu. Dashboard nyingi za Mercedes ni kama nyembamba hivi.Aaahh wewe! Inategemea na model. Hebu weka Dashboard ya BMW X7 au ya Marcedes Benz GLE 450 uone vitu!
Kuna magari kama haya kuyatumia Bongo hauwezi kuyaenjoy sana. Kwanza foleni, pili kama unavyosema barabara mbovu, tatu hata ukienda safari ndefu ambazo unaweza kuenjoy speed kali, traffic na tochi zao.Kuna model za BMW zipo chini sana yan ukipita rough road sijui itakuaje
Acha ushengeDashboard tamu ni ya Mazda Rx8.
Muda wa usiku ndio inazidi kuvutia mara dufu.