Mercedez Benz na BMW ni magari ya kifahali lakini yenye dashboard mbaya

ukisema swal la dash bord sio nzuri utakua unakosea cheki new model ya ayo magari uliyotaj uone pamoja n picha zilizo tumwa n members wengine af ulinganisha
 
Hizo gari hata sijawahi kupanda ila kwangu mimi binafsi sijawahi kuona dashboard bora kuliko ya huyu mnyama.🏍🏍🏍
Motorcycle-Parts-Motorcycle-Speedometer-Assy-for-Bajaj-Bm150-Bajaj-Boxer-New-Model.jpg
 
Moja ya vitu ninavyoangalia katika kutathmini mvuto wa gari ni dashboard au sehemu ya mbele ya gari pembeni ya usukani.

Mercedez Benz na BMW ni magari yanayoheshimika sana na yamebaki na quality zake ya ubora ikiwemo brand zinazothaminiwa, engine na uimara kwa miaka mingi.

Kwa muonekano wa nje, hakuna gari ninayoikubali kama Mercedez Benz.

Ila pamoja na kuboresha muonekano wa nje uwe wa kisasa zaidi, dashboard zao bado zinakosa mvuto. Hazina nakshi ambazo gari nyingi za kileo wanaweka pale mbele.

View attachment 1630887

View attachment 1630888

View attachment 1630901
Smart
Screenshot_20201121-024448.jpg
 
Moja ya vitu ninavyoangalia katika kutathmini mvuto wa gari ni dashboard au sehemu ya mbele ya gari pembeni ya usukani.

Mercedez Benz na BMW ni magari yanayoheshimika sana na yamebaki na quality zake ya ubora ikiwemo brand zinazothaminiwa, engine na uimara kwa miaka mingi.

Kwa muonekano wa nje, hakuna gari ninayoikubali kama Mercedez Benz.

Ila pamoja na kuboresha muonekano wa nje uwe wa kisasa zaidi, dashboard zao bado zinakosa mvuto. Hazina nakshi ambazo gari nyingi za kileo wanaweka pale mbele.

View attachment 1630887

View attachment 1630888

View attachment 1630901
Ni kipi kipimo cha uzuri wa dashboard?
 
Unazungumzia model ipi?
Hata brand zingine pia zipo model zina dashboard nzuri na zingne mbaya vilevile......
 
Back
Top Bottom