ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
MAISHA NA MAFANIKIO
Hiii ni baadhi tu kwa wale wa makabila, wanaweza kutuletea zaidi zinazofanana hapa. Hii kitu inaitwa Kumbikumbi, KAMA ILIVYO senene kule kanda ya ziwa, inapatikana katika msimu fulani tu wa majira ya mwaka.