Mentor utaoa lini...


Kabla sija boostiwa itabidi niwa boost mimi. Naskia Manyaunyau ni mtaalam wa ukweli ngoja nikamuone nione kama ku boost kupo au ni maneno tu.....
 
Kabla sija boostiwa itabidi niwa boost mimi. Naskia Manyaunyau ni mtaalam wa ukweli ngoja nikamuone nione kama ku boost kupo au ni maneno tu.....

Lbda ukamuone diamond akupatie CV za waganga, au Mentor akupatie contacts za huyu mdada ili umuone akusaidie pia
 
Last edited by a moderator:
kyeeri iki nkulalya kabisa foo..........
nkwiifo kukee nsurume ro shoo wa womi............
kwa mpata mwaanya shiruuya lurere kinyoo shoo.

lol...kulashesara fo tonga
kwawa fo inda ee?na wajomba wakwa?
Asee shankusuruma kunu sakina ko kama mwiri umwi endi kwifo kindo shiketana kinnyo...
 
Lbda ukamuone diamond akupatie CV za waganga, au Mentor akupatie contacts za huyu mdada ili umuone akusaidie pia
Sina tena aisee labda majina yake tu ndo kumbukumbu pekee iliyobaki kichwani mwangu! Halafu Nicas Mtei ananiambia nimchukue akaombewe nibaki naye...WTH!???
 
Last edited by a moderator:
lol...kulashesara fo tonga kwawa fo inda ee?na wajomba wakwa? Asee shankusuruma kunu sakina ko kama mwiri umwi endi kwifo kindo shiketana kinnyo...
Deda kiwahili mbe!!! Acheni kuongea Kipalestina bana.. Cc: gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
lol...kulashesara fo tonga kwawa fo inda ee?na wajomba wakwa? Asee shankusuruma kunu sakina ko kama mwiri umwi endi kwifo kindo shiketana kinnyo...
Deda kiwahili mbe!!! Acheni kuongea Kipalestina bana.. Cc: gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Sina tena aisee labda majina yake tu ndo kumbukumbu pekee iliyobaki kichwani mwangu! Halafu Nicas Mtei ananiambia nimchukue akaombewe nibaki naye...WTH!???

Mambo ingine ni ngumu kumesa aisee, anataka akumalisie kabisa na ile ambayo alipewa na mganga ili akamilishe ndoa ifungwe ikashindikana. Mie ingekimbia kama mbusi
 
Mambo ingine ni ngumu kumesa aisee, anataka akumalisie kabisa na ile ambayo alipewa na mganga ili akamilishe ndoa ifungwe ikashindikana. Mie ingekimbia kama mbusi

One :A S-heart-2:.

Still praying hard for the ONE!!!!
 
Uliniuliza hivi...

Ngauti kwa hiyo uliamua kumuacha huyo dada bila hata kumpeleka kwa watumishi wa Mungu wamfanyie maombi?

Nikakujibu hivi...



Ukamalizia hivi...


Ndo maana nashangaa guts zako wewe mtu amshakuendea kwa waganga eti bado umrudie?? Do u mean wadada wameisha au kwa sababu na wao sio perfect basi na mimi nimkubali tu!???:nono:
 

ila haukunijibu kama do u believe in changes or not.. Nijibu kwanza Ngauti.
 
Mentor na mikasa ya mabinti, Yule wa TAbata umemtembelea Siku za karibuni?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…