Men's Talk...!!!!!

Men's Talk...!!!!!

Mbona hata wewe nakuona mara nyingi kudandia za Women's Talk? Macho hayana pazia! Sorry lakini!

'bila sorry wangu ni hoja na mifano JF ndo inataka hiyo kwa mfano Women's Talk Topic gani aliyovamia nduki labda ungetupa mfano.............WHERE WE DARE TO TALK OPENLY for example'
 
Last edited by a moderator:
Mkate nao unagonga siku hizi? Labda unagonga bluband na chai

'njoo ugongwe usijibalaguze hapa................halaf ndo utajua kama MKATE au MCHINJE kabisaaa,njoo ugongwe wee si huogopi kugongwa'
 
Back
Top Bottom