well done gentleman, it's very nice stadi za maisha theory,Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu
Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.
"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Asante sanaPole sana mkuu
Hivi kuna kanuni gani kati ya ke kuwa na matako makubwa halafu hana akili.......shapeless na zero brain sijui itakuwaje!
mimi siamini kwakweli, wote ninaowajua wana akili!Hivi kuna kanuni gani kati ya ke kuwa na matako makubwa halafu hana akili.......
Kaka mkubwa ukisikia nimeoa basi nimeoa shape hio tabia nitajua jinsi yaa kuitengeneza mwenyewe kwenye saikolojia ya ubongo wangu, yaan nioe kitu ambacho sikipendi kisa kina tabia nzuri aah hapana sitothubutu kabisa sitaki kubakia sebuleni nataka kubakia chumbani"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Na mimi ninaamini hivyo sio matako lakinimimi siamini kwakweli, wote ninaowajua wana akili!
Sio matako lakinishapeless na zero brain sijui itakuwaje!
Na sisi ambao hatujapata bahati ya kuambulia chochote kwenye hivyo vigezo ulivyoweka, mnatuweka kwenye kundi gani?Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu
Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.
"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Kaka mkubwa ukisikia nimeoa basi nimeoa shape hio tabia nitajua jinsi yaa kuitengeneza mwenyewe kwenye saikolojia ya ubongo wangu, yaan nioe kitu ambacho sikipendi kisa kina tabia nzuri aah hapana sitothubutu kabisa sitaki kubakia sebuleni nataka kubakia chumbani
Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu
Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.
"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni