jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,379
- 4,899
Waziri mwenye dhamana anapodai kuwa wawekezaji wa Tanzania hawana uwezo wa kuwekeza kwenye gesi hivyo wawekeze kwenye juice ,Matunda na Maandazi unalichukuliaje?
kwani uongo? wangekuwa na uwezo si wangechukua form wagombee na wawekezaji wengine wenye uwezo? we unachuliaje Mengi kudai wapewe vitalu on our behalf?