Zinaitwa Kampeni, na katika Kampeni za Kisiasa kuna njia kuu nne za kuwafikia wapiga kura ambazo ni;
1. Kukutana na wapiga kura moja kwa moja yaani Direct Voters Contact (DVC) kupitia Mikutano ya hadhara (Impact ni Ndogo kwa maana ya kuwafikia wapiga kura wachache)
2. Vipeperushi na machapisho (Still Billboards, Electronic Billboards, Posters na Leaflets); impact yake ni ya kati maana idadi ya watu wanaofikiwa ni wengi kiasi tena karibu kila siku;
3. Mass Media (Redio na TV). Njia hii ina impact kubwa kwani inawafikia watu wengi kwa mpigo, Katika hili CHADEMA na UKAWA wamefanya chini ya Wastani. Kwa mfano Mkutano wa leo Arusha watu wengi walijipanga kuufuatilia kupitia Vyombo vya Habari cha kushangaza hakuna linaloendelea. Jamani kushinda uchaguzi sio kazi nyepesi.
Kwa nini UKAWA haitumiii vyombo vya habari kuwafikia wananchi wengi? Njia nzuri na rahisi ni Redio kwani angalau kila kaya hapa nchini ina Redio maana hata simu (Feature Phone) zina Redio. UKAWA hamtumii hii njia hivi tatizo nini? Yaani leo mmeboa sana. Huyu Kampeni meneja wa UKAWA/CDM hafai kabisa. Kushinda uchaguzi kwa Mazingira haya si rahisi. Tusijidanganye!!. CCM wanatumia TV na Redio tena zile ambazo zinawafikia watu wengi. Amkeni jamani wananchi wanahamu ya kuwasikia na kusikia Sera zenu.
4. Mtu kwa Mtu, Hii hutumika katika scale ndogo ambapo wagombea hutembelea katika Kaya au maeneo ya mikusanyiko mfano Vituo vya Mabasi, Vijiwe nk. Njia hii ina impact ndogo sana.
USHAURI:
Kama tatizo sio fedha, basi huyo meneja wa Kampeni hafai kabisa anawashauri vibaya. Tanzania ina vijiji zaidi ya 20,000 (ishirini elfu), je mtavifikiaje vyote? Njia rahisi ni vyombo vya habari.
Ninashauri Mgombea wa Urais na Timu ya Kampeni Kitaifa afanye Press Conference kabla ya siku ya Kupiga KURA ili wananchi kwa upana waweze kumsikia. Tena hiyo Press conference irudiwe mara kwa mara. Vinginenvyo tutasema kura zetu zimeibiwa kumbe hatukujipanga vizuri. Huu ni ushauri wangu mpenda mabadiliko.
Kazi kwenu.
1. Kukutana na wapiga kura moja kwa moja yaani Direct Voters Contact (DVC) kupitia Mikutano ya hadhara (Impact ni Ndogo kwa maana ya kuwafikia wapiga kura wachache)
2. Vipeperushi na machapisho (Still Billboards, Electronic Billboards, Posters na Leaflets); impact yake ni ya kati maana idadi ya watu wanaofikiwa ni wengi kiasi tena karibu kila siku;
3. Mass Media (Redio na TV). Njia hii ina impact kubwa kwani inawafikia watu wengi kwa mpigo, Katika hili CHADEMA na UKAWA wamefanya chini ya Wastani. Kwa mfano Mkutano wa leo Arusha watu wengi walijipanga kuufuatilia kupitia Vyombo vya Habari cha kushangaza hakuna linaloendelea. Jamani kushinda uchaguzi sio kazi nyepesi.
Kwa nini UKAWA haitumiii vyombo vya habari kuwafikia wananchi wengi? Njia nzuri na rahisi ni Redio kwani angalau kila kaya hapa nchini ina Redio maana hata simu (Feature Phone) zina Redio. UKAWA hamtumii hii njia hivi tatizo nini? Yaani leo mmeboa sana. Huyu Kampeni meneja wa UKAWA/CDM hafai kabisa. Kushinda uchaguzi kwa Mazingira haya si rahisi. Tusijidanganye!!. CCM wanatumia TV na Redio tena zile ambazo zinawafikia watu wengi. Amkeni jamani wananchi wanahamu ya kuwasikia na kusikia Sera zenu.
4. Mtu kwa Mtu, Hii hutumika katika scale ndogo ambapo wagombea hutembelea katika Kaya au maeneo ya mikusanyiko mfano Vituo vya Mabasi, Vijiwe nk. Njia hii ina impact ndogo sana.
USHAURI:
Kama tatizo sio fedha, basi huyo meneja wa Kampeni hafai kabisa anawashauri vibaya. Tanzania ina vijiji zaidi ya 20,000 (ishirini elfu), je mtavifikiaje vyote? Njia rahisi ni vyombo vya habari.
Ninashauri Mgombea wa Urais na Timu ya Kampeni Kitaifa afanye Press Conference kabla ya siku ya Kupiga KURA ili wananchi kwa upana waweze kumsikia. Tena hiyo Press conference irudiwe mara kwa mara. Vinginenvyo tutasema kura zetu zimeibiwa kumbe hatukujipanga vizuri. Huu ni ushauri wangu mpenda mabadiliko.
Kazi kwenu.