Mende aonekana kwenye screen ya TV

Mende aonekana kwenye screen ya TV

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wandugu,

Leo nilivyorudi nyumbani jioni, nilichukua CD lakini nilipotaka kuiweka deki ili niangalie nikaghairi kwanza baada ya kuhisi kuna kitu ndani ya deki. Kumbe kulikua kuna mende ndani ya deki nilipowasha deki na TV ili kuhakikisha mara mende akatokea kwenye TV anatembea tembea si alikua ndani ya deki kwa hiyo akawa kama CD.

Wakuu wa ICT njooni mtueleweshe kuhusu hii kitu.
 
Watu wengine wanakosa vitu vya kuandika huku... afadhali wakacheze3 kombolela
 
Atakuwa mshabiki wa Polisi Moro.......anaweweseka......
 
...TV ya sangoma ? Kama ya kawaida ngoja wataalam waje...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom