Mende aonekana kwenye screen ya TV

Mende aonekana kwenye screen ya TV

Wandugu,

Leo nilivyorudi nyumbani jioni, nilichukua CD lakini nilipotaka kuiweka deki ili niangalie nikaghairi kwanza baada ya kuhisi kuna kitu ndani ya deki. Kumbe kulikua kuna mende ndani ya deki nilipowasha deki na TV ili kuhakikisha mara mende akatokea kwenye TV anatembea tembea si alikua ndani ya deki kwa hiyo akawa kama CD.

Wakuu wa ICT njooni mtueleweshe kuhusu hii kitu.
Hizo bangi za kuvutia chooni acha kwa ushauri tembelea milembe.
 
atakua muigizaji huyo kakimbia kwenye scene mkamate mpeleke steps
 
Wandugu,

Leo nilivyorudi nyumbani jioni, nilichukua CD lakini nilipotaka kuiweka deki ili niangalie nikaghairi kwanza baada ya kuhisi kuna kitu ndani ya deki. Kumbe kulikua kuna mende ndani ya deki nilipowasha deki na TV ili kuhakikisha mara mende akatokea kwenye TV anatembea tembea si alikua ndani ya deki kwa hiyo akawa kama CD.

Wakuu wa ICT njooni mtueleweshe kuhusu hii kitu.
MpWaaa puliziA Tv Doom unAeza kuTa kuNa kunGuni pia kWenYe deki hiyo.
 
Ohh, si zinazaa hizo TV na Deki na hao ndiyo watoto wake, sasa watunze wakikuwa na wao watazaa deki na TV zingine.

Hahaa... Faizafoxy unanifuraha mie... Akili za abunuwas hizo au zako ila ni za usiku!!?😂😂😁😁😁😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁☺☺☺☺
 
ImageUploadedByJamiiForums1430180218.647408.jpg

Mende hatari sana hawa
 
Unapokutana na thread kama JF ndipo unapohisi kuwa viazi si lazima vilimwe shambani, hata huku JF vipo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom