WeEwEe uNaWazAa kwWnDa kuLaLa nA maLizAwAtju tu.
"Home" kwenu ni wapi? unaishi na nani?
Teh Teh..Aiseee nusu nivunjike mbavu aisee jf kuna watu waina yake daaa..nimecheka sana..Wandugu,
Leo nilivyorudi nyumbani jioni, nilichukua CD lakini nilipotaka kuiweka deki ili niangalie nikaghairi kwanza baada ya kuhisi kuna kitu ndani ya deki. Kumbe kulikua kuna mende ndani ya deki nilipowasha deki na TV ili kuhakikisha mara mende akatokea kwenye TV anatembea tembea si alikua ndani ya deki kwa hiyo akawa kama CD.
Wakuu wa ICT njooni mtueleweshe kuhusu hii kitu.
Wandugu,
Leo nilivyorudi nyumbani jioni, nilichukua CD lakini nilipotaka kuiweka deki ili niangalie nikaghairi kwanza baada ya kuhisi kuna kitu ndani ya deki. Kumbe kulikua kuna mende ndani ya deki nilipowasha deki na TV ili kuhakikisha mara mende akatokea kwenye TV anatembea tembea si alikua ndani ya deki kwa hiyo akawa kama CD.
Wakuu wa ICT njooni mtueleweshe kuhusu hii kitu.
ha ha ha asee he has made my day yan nmecheka hapa lolTeh Teh..Aiseee nusu nivunjike mbavu aisee jf kuna watu waina yake daaa..nimecheka sana.. Cc Mwl Evelyn Salt
dont take t serious....Watu wengine wanakosa vitu vya kuandika huku... afadhali wakacheze3 kombolela
acha unoko babu
don take it serious....Milembe kunakuhusu
Kweli hii ni habari mchanganyiko kutoka sakafuni mwa lukelo.
Inabidi ukaombewe, sio bure.Wandugu,
Leo nilivyorudi nyumbani jioni, nilichukua CD lakini nilipotaka kuiweka deki ili niangalie nikaghairi kwanza baada ya kuhisi kuna kitu ndani ya deki. Kumbe kulikua kuna mende ndani ya deki nilipowasha deki na TV ili kuhakikisha mara mende akatokea kwenye TV anatembea tembea si alikua ndani ya deki kwa hiyo akawa kama CD.
Wakuu wa ICT njooni mtueleweshe kuhusu hii kitu.