Sio kila mtoto atakayezaliwa atakuwa Nyerere. Kuna kina Polepole, wezi na vibaka. Na wote hao wanakuwa hivyo sababu ya malezi. Zaa unaoweza kuwa mudu. Zaa na mke mmoja ili kuwaweka karibu zaidi.
Cha msingi ni kuzaa wengi kadri ya uwezo, hata kama hawezi kuwa si nyerere! basi ni Bakhresa, Manji, Tanganyika Bus service, lazima unapopiga mashine ujisemee kabisaa lengo ni zaidi ya mtu km Nyerere, Mungu kama yupo kadri wanavyomsema atakupa haja ya moyo wako !!
Lakini ukiwa na mashaka moyoni sijui kibaka huyu, sijui CD huyu atakuwa hapo lazima shetani aje karibu yako, hata nyumbani kwao Nyerere kulikuwa na jamaa moja linaitwa Kiboko hili lilikuwa ni nusu Taahira lakini lilimezwa kwa heshima ya Nyerere!
Amini na ndivo ilivo familia zote Duniani utake usitake lazima yapatikane Majuha na wenye Mafanikio kidogo na wenye mafanikio sana sana, wenye kuanguka, wenye kusimama hii ni kawaida, mwenye mafanikio akiwa mmoja atameza madhaifu ya wengi,
wabinafsi wajinga, wachoyo, walio tofauti na misimamo ya wengine , wachoyo, Mataaihila ktk familia zote Duniani hayakosi usichague wapende wote!! Yusufu mwana wa Yakobo ulipewa mfano utumie huo!!
wasingekuwa kaka zake kumchukia vile, familia isinge okoka na janga la njaa!! na walikuwa na akili zao kabisaa wakt wanamuuza, huu ni mfano ili Binadamu mjifunze!!
ukimpata mmoja katika familia akiwa kama Kikwete ni rahisi kuwakusanya vibaka, cd, walemavu, wote na kuwaweka ktk mstari. hata hizo familia zenye mafanikio kuna mataahira, majambazi, wezi wa mboga , kibao!
Ukitaka uzae watoto wazuri tu!! ni tamaa utawaweka kwenye daraja la ubaguzi pia ni tatizo la ubongo!! kuna watoto baba yao ana wadhifa ni tajiri lkn toto ana amua kukaa kabisa kijiweni, kulalagheto! analangua sigara anakamatwa na polisi!! siyo kwamba hashibi la hasha!!
Bush family wana maisha zaidi ya kuwa na hela tangu kibabu cha ngapi huko nyuma lkn wana dogo lao lilikufa kwa uteja!! Jeb Bush aliponea chupu chupu kuwa teja! lkn sababu pesa wanamezwa!!! zaaa bana usijibane bane!!
Angalia Marehemu Capt, Komba Mtoto mwenye hekima na Heshima kasoma vizuri ni Dr Komba wa Lugalo tena kichwa balaa! Mengine hayo yaliyokuwa ya halali baadhi yalikataa shule yapoyapo tu!
Kubali tu huna uzoefu na chini acha watu wajimwae bana!!