Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Ninacho kiamini nikwamba hakuna mwanaume anaependa kua na watoto wa mama tofauti bila sababu za msingi. Ni changamoto tu ndizo hupelekea mwisho wa siku hilo kutokea.
Mfano changamoto gani mkuu?
 
Kuna uncle wetu mmoja, alikuwa ana mke karibia kila mkoa utafikiri jogoo wa kuazima...

Sasa alipofariki ishu ikawa ndugu kuanza kusomesha watoto wa marehemu, wanandugu wengine ikawalazimu hadi kuuza mali zao ili watoto wa kaka walau wasome...
 
Ninacho kiamini nikwamba hakuna mwanaume anaependa kua na watoto wa mama tofauti bila sababu za msingi. Ni changamoto tu ndizo hupelekea mwisho wa siku hilo kutokea.
Changamoto gani?
Hivi mpaka unamkojolea mchepuko ndani unakuwa umerogwa eti..?
 
Wewe ndio baba yao na watoto ni ndugu zako hawana ndugu mwingine zaidi yako, na wewe ndio kichwa Chao hivyo ni jukumu lako kuwakusanya na kuwaunganisha na wafahamiane mapema Sana na uwajengee misimgi ya umoja tangu wakiwa wadogo.

Hawa wanawake sio wa kuwagikiria Sana ndio maana hata kesho akisepa anabadilisha tu kutoka Mrs x to Mrs y na hakuna wa kumpangia.

So pamoja na mifano yako mwanaume kuwa na msimamo pamoja na madhaifu yako. Hata Kama umezalisha inje simamia msimamo wako juu ya matunda ya uzinzi wako.

Watoto ndio ndugu zako na ni damu yako , kabila lako , dini yako Kila kitu chako hivyo ni jukumu lako kuwalinda na kutungua miladi ya kuwaunganisha.

Usiache tamaana na roho mbaya ya huyo mwanamke kwa jina la mke/mchumba/mzazi mwenza vitese damu yako .....maana mwisho wa siku machozi ya hao watoto yatakulilia wewe na sio huyo mwanamke wako.


Men wakeup....... it's time for Sex and money not love and sex Hawa wanawake wame change sio wale tulio kalilishwa na Bibi na mama zetu....Hawa ni wengine kabisa....
 
Hamna mwanamke atakayekidhi vigezo bwana wewe...ingekuwa hivyo watu tusingechepuka.

Mie baba kwakuendekeza kuchepuka tayari nina ujinga sasa ukikutana na mwanamme mjinga sii majanga
Nazungumzia swala la watoto mkuu. Kwan ukichepuka lazima uzae?

Let say mke nyumban anakupa stress kwa namna moja au nyingine, ww ukaamua kutafuta mchepuko wa kukuliwaza, ni lazima na huko uzae? Why usipoge tu, then ukitaka watoto unarudi home kwa mama?
 
Kuna uncle wetu mmoja, alikuwa ana mke karibia kila mkoa utafikiri jogoo wa kuazima...

Sasa alipofariki ishu ikawa ndugu kuanza kusomesha watoto wa marehemu, wanandugu wengine ikawalazimu hadi kuuza mali zao ili watoto wa kaka walau wasome..


Nimecheka sana mkuu.

Anyway hapo ndio ugumu unapoanzaga, muhusika ukishaondoka, watoto ndio wanaanza kupata tabu.
 
Wewe ndio baba yao na watoto ni ndugu zako hawana ndugu mwingine zaidi yako, na wewe ndio kichwa Chao hivyo ni jukumu lako kuwakusanya na kuwaunganisha na wafahamiane mapema Sana na uwajengee misimgi ya umoja tangu wakiwa wadogo.

Hawa wanawake sio wa kuwagikiria Sana ndio maana hata kesho akisepa anabadilisha tu kutoka Mrs x to Mrs y na hakuna wa kumpangia.

So pamoja na mifano yako mwanaume kuwa na msimamo pamoja na madhaifu yako. Hata Kama umezalisha inje simamia msimamo wako juu ya matunda ya uzinzi wako.

Watoto ndio ndugu zako na ni damu yako , kabila lako , dini yako Kila kitu chako hivyo ni jukumu lako kuwalinda na kutungua miladi ya kuwaunganisha.

Usiache tamaana na roho mbaya ya huyo mwanamke kwa jina la mke/mchumba/mzazi mwenza vitese damu yako .....maana mwisho wa siku machozi ya hao watoto yatakulilia wewe na sio huyo mwanamke wako.


Men wakeup....... it's time for Sex and money not love and sex Hawa wanawake wame change sio wale tulio kalilishwa na Bibi na mama zetu....Hawa ni wengine kabisa....
Watoto wa mama tofauti, ni changamoto kuwa na ukaribu ambao ww baba utataka wawe nao.

Kama kuna wadau humu ambao wanatokea familia zenye baba mmoja na mama wengi, watakuja kutoa ushuhuda humu.
 
Hii ni kweli kabisa na mimi imetokea kwangu pia baada ya mzee kufariki watoto wa nje ambao ni wakubwa kunizidi wakataka vitu viuzwe pia ulikua msimamo wa ukoo ili nao wapate haki ya baba yao, na hawa wote wameolewa wanafamilia so mkubwa wetu ambae ni bro akaja na wazo.
aliitisha kikao akasema yale maamuzi ya ukoo sisi kama familia tusiuze vitu tuwaachie madogo wauze pesa ziwasaidie shule sisi wakubwa tusichukue, bwana wee sikuamini wadada waliposema KUSOMA KWAO SISI HAKUTUHUSU kila mtu afe na chake. Wakachukua ingawa bro alitugaia za kwake.
Mwaka wa 10 huu siongei nao na sitarajii tunakutana kwenye misiba tu kijijini halafu Buyu zito ile kauli mbaya sana siisahau yani.
Mpaka leo sitamani kuzaa hovyo asee mnaacha watoto wasiopendana hata.
 
kuna mzee mke wake alikuwa anazaa watoto wa kike tu akaenda nje kutafuta wa kiume
Nishashuhudia case kama hii, mzee wa kanda ya ziwa alizaa watoto wanne ila wakike tupu. Akaamua kutafuta mke mwingine, akaongeza wawili, nao akapata wakike tupu. Akaamua kutulia tu asijefikisha idadi ambayo itamshinda kulea.

Now ana watoto 6 wakike tupu.
 
Back
Top Bottom