Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Reasons zote ninazosoma hapo na ninazoendelea kuziona hazinishawishi kabisa, watoto wanateseka na singo mazazi
Ndio maana nimesema waje na reasons, nikijua hakuna atakayekuwa na enough reasons kujustify ili swala. Watoto wanapata tabu sana
 
Nazungumzia swala la watoto mkuu. Kwan ukichepuka lazima uzae?

Let say mke nyumban anakupa stress kwa namna moja au nyingine, ww ukaamua kutafuta mchepuko wa kukuliwaza, ni lazima na huko uzae? Why usipoge tu, then ukitaka watoto unarudi home kwa mama?
Kuna several factors je kama mchepuko mzuri kuliko mke?
Maana ukumbuke sometimes tunaoa wakati bado pesa hazijatutembelea. Zikishakutembelea sasa ndio unapata ile kitu roho inapenda.
 
Dunia hii ina kila aina ya matukio.

Wakati nasoma huu ujumbe, kuna Dada katoka kuniomba ushauri. Yeye ni mke wa mtu na mume wake amesafiri kikazi huu ni mwezi wa tatu yupo Mkoa mwingine. Dada amechanganyikiwa ametoka kupima amekutwa ana ujauzito. (Ni ujauzito wa mchepuko).

Ushauri niliompa: Nimemwambia aende huko alipo mumewe akamuonjeshe wiki nzima kisha arudi, halafu baadae aje amwambie mumewe kuwa ana ujauzito.

Dada kakubali ushauri wangu, pia ameniambia kuwa hata mtoto wake wa kwanza sio wa mumewe ni wa jamaa mwingine.

Aisee, wanawake Mungu anawaona.
 
Hii ni kweli kabisa na mimi imetokea kwangu pia baada ya mzee kufariki watoto wa nje ambao ni wakubwa kunizidi wakataka vitu viuzwe pia ulikua msimamo wa ukoo ili nao wapate haki ya baba yao, na hawa wote wameolewa wanafamilia so mkubwa wetu ambae ni bro akaja na wazo.
aliitisha kikao akasema yale maamuzi ya ukoo sisi kama familia tusiuze vitu tuwaachie madogo wauze pesa ziwasaidie shule sisi wakubwa tusichukue, bwana wee sikuamini wadada waliposema KUSOMA KWAO SISI HAKUTUHUSU kila mtu afe na chake. Wakachukua ingawa bro alitugaia za kwake.
Mwaka wa 10 huu siongei nao na sitarajii tunakutana kwenye misiba tu kijijini halafu Buyu zito ile kauli mbaya sana siisahau yani.
Mpaka leo sitamani kuzaa hovyo asee mnaacha watoto wasiopendana hata.
Atleast mfano hai kama huu kuna watu wataelewa point yangu. Watoto wa mama tofauti ni ngumu kuwa na umoja unaohitajika.

Mnakuwa mnaonana as if ni watu wa mbali mbali tu.
 
Kuna several factors je kama mchepuko mzuri kuliko mke?
Maana ukumbuke sometimes tunaoa wakati bado pesa hazijatutembelea. Zikishakutembelea sasa ndio unapata ile kitu roho inapenda.
Hakuna umri sahihi wa kuoa. Oa unapoona ni wakati sahihi kwako.

Hata kama mchepuko ni mkali kuliko wife, kwan lazima uzae nae?
 
Sisi wanaume bana.... ukikutana na mjadala kama huu unaona kabisa kwamba kweli kuna mantiki. Tatizo sasa ukikutana na kabinti kamenona, unajikuta tu umeshakojolea ndani huko wala hukumbuki tena mambo ya sijui mtoto sijui nini.. Yaani kuna saa nyingine mtu unajikaza unavaa kondom kabisa, ukifika katikati ya gemu unaivua unatupa kule unasakata kabumbu pekupeku. Mungu tu atusaidie kwakweli..
 
Dunia hii ina kila aina ya matukio.

Wakati nasoma huu ujumbe, kuna Dada katoka kuniomba ushauri. Yeye ni mke wa mtu na mume wake amesafiri kikazi huu ni mwezi wa tatu yupo Mkoa mwingine. Dada amechanganyikiwa ametoka kupima amekutwa ana ujauzito. (Ni ujauzito wa mchepuko).

Ushauri niliompa: Nimemwambia aende huko alipo mumewe akamuonjeshe wiki nzima kisha arudi, halafu baadae aje amwambie mumewe kuwa ana ujauzito.

Dada kakubali ushauri wangu, pia ameniambia kuwa hata mtoto wake wa kwanza sio wa mumewe ni wa jamaa mwingine.

Aisee, wanawake Mungu anawaona.
Hiki ndio nazungumzia mimi. Sawa umeamua kuchepuka, sasa ndio lazima upate na mtoto?

Hapo baadae zinakuja kuibuka comflicts za ajabu ajabu.
 
Hakuna umri sahihi wa kuoa. Oa unapoona ni wakati sahihi kwako.

Hata kama mchepuko ni mkali kuliko wife, kwan lazima uzae nae?
Mzeya kusubiri wakati sahihi unaweza jikuta miaka 50 ndio unaoa maana mambo yamekaa level...sasa utaanza kuzaa mtoto wa kwanza na miaka 50?

Ndio lazima nizae nae sasa dem mkali kama jackline kwa nini nisimwagie ndani
 
Sisi wanaume bana.... ukikutana na mjadala kama huu unaona kabisa kwamba kweli kuna mantiki. Tatizo sasa ukikutana na kabinti kamenona, unajikuta tu umeshakojolea ndani huko wala hukumbuki tena mambo ya sijui mtoto sijui nini.. Yaani kuna saa nyingine mtu unajikaza unavaa kondom kabisa, ukifika katikati ya gemu unaivua unatupa kule unasakata kabumbu pekupeku. Mungu tu atusaidie kwakweli..
Ukiwa na moyo wa kujali, kila kitu kinawezekana mkuu.
 
Mzeya kusubiri wakati sahihi unaweza jikuta miaka 50 ndio unaoa maana mambo yamekaa level...sasa utaanza kuzaa mtoto wa kwanza na miaka 50?

Ndio lazima nizae nae sasa dem mkali kama jackline kwa nini nisimwagie ndani
Tatizo lililopo ni kwamba slay queens na pisi kali mnazoziona kwenye tv ndio zinawatoa macho.

Kiatu sahihi hakiwez kukubana. Muda sahihi ni pale unapompata mtu unayeona anakufaa, na sio mpaka uwe na mali nyingi.

Ukiona hadi unakaribia 50 hujapata mtu wa kukufaa, basi tatizo halipo kwao, litakuwa kwako.
 
Tatizo lililopo ni kwamba slay queens na pisi kali mnazoziona kwenye tv ndio zinawatoa macho.

Kiatu sahihi hakiwez kukubana. Muda sahihi ni pale unapompata mtu unayeona anakufaa, na sio mpaka uwe na mali nyingi.

Ukiona hadi unakaribia 50 hujapata mtu wa kukufaa, basi tatizo halipo kwao, litakuwa kwako.
Eeh obviously tatizo lipo kwangu..sii sina hela bwana ya kupata mrembo nitakye ndio maana.

Wewe bwana mwanamke hapendi mwanamke anaangalia huduma ipo wapi. So na mie naangalia the best papuchi my pocket can allow me to handle.
 
Back
Top Bottom