Men lets be fair kwa kweli

Kwenye mahusiano kuna kiongozi lazima na mmoja lazima akubaliane. Haya mambo ya kutafuta "droo" "droo" ndiyo maana mwisho w siku lazima ndoa ivunjike.
Mwanamke ni tofauti sana n mwanaume! Mfumo mzima w vichocheo vya mwili "hormones" ni tofauti dominant hormones on both sexes are not the same so are their roles!!
Hii kutaka playing God that is why kila siku amani inazidi kupotea katika familia na jamii. Lazima jamii ielimike hasa elimu ya kuweza kujitambua. Matatizo mengi ya chuki, hasira, visasi yanaanzia kwenye basic unit ya taifa yaan Familia. If we change how we live kuanzia ngazi ya familia tutabadili jamii nzima.
WE NEED TO CHANGE.
 
 
Nadhani cha msingi hapa ni wanawake kutotuma picha zao za utupu kwa hao wanaojidai kuwa wanawapenda....tatizo katika hili ni kamba wanawake ni wadhaifu sana haswa wakipata mtu ambae ana kile anachokitaka/anachokipenda.

Mwambie mwanaume mwanzo kabisa wakati anakufuatili/anakutongoza your likes and dislikes na moja ya dislikes list zako liwe ni hilo la kutoombwa kutuma picha yako ya utupu wala kupigwa picha ya utupu kwa njia yoyote ile.

Wanawake mkiamua hili mnaweza.
 

Pole mama nimeona picha ya K yako kuleee vioja vya mtaa. Kumbe mmetimuana na jamaa mida?
 
Kama wewe haufanyi wizi huna sababu ya kutetea wizi

Utatetea wizi ili iweje?

Hapa tunaongea vitu vinavyoendelea kwenye jamii yetu. Upende usipende vipo na vinafanyika.. Kuielezea ni kwa sababu naiona kwe la kupiga picha za nusu utupu c la leo. Semchnoa ndio imekuwa. Nakumbuka nikiwa sekondary watu walikuwa wanatumiwa picha za wadada wanavichupi na kanga vifuani. Je nani alikuwa anawapiga picha?..

Kwa hiyo suala la picha za utupu ni hulka ya mtu. Mimi ukiwa friend wangu fb ukiona tu umenshere picha ya Udini, uchiuchi nakublock kuanzia siku hiyo.

Lazima tukiri yaliyopo ili tutafute suluhu.
 

Ah....gud to knw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…