Men lets be fair kwa kweli

Men lets be fair kwa kweli

1. kwani papuchi au dushe vina plate number,nauliza hivyo kwa sababu mfano kaituma mtandaoni watu watajua vipi kama ni ya fulani?

2. Sababu ya watu kutumiana hizo picha huwa ni nini hasa?

3. kuna wengine zinakutwa mitandaono si picha tu hata movie yenyewe ilivyofanyika, baadae mtu anajitetea kuwa ali recordiwa na mpenzi wake?
 
Hahaaa mkuu Tyta kalio lako likisambazwa nooma bora dushe, watu watahisi wewe ni mfuasi wa cameroon.

ndiyo maana nakukubali sana jamani loh dikembe wanaume wengine hawakuelewa impact ya kusambaziwa kalio italetea nini...... kama nitakosea i love you dikembe
 
Last edited by a moderator:
1. kwani papuchi au dushe vina plate number,nauliza hivyo kwa sababu mfano kaituma mtandaoni watu watajua vipi kama ni ya fulani?

2. Sababu ya watu kutumiana hizo picha huwa ni nini hasa?

3. kuna wengine zinakutwa mitandaono si picha tu hata movie yenyewe ilivyofanyika, baadae mtu anajitetea kuwa ali recordiwa na mpenzi wake?

hazina plate number sema wanakuta wameweka na masura yao live live ndiyo shida
 
  • Thanks
Reactions: lin
but kalio ni kalio tuu,,,, kila mmoja analo,,,,kikubwa ni kutokutumiana hizo vitu....kama ni asali wako, mwambie njoo uone live hapa,,,baaaaass,,,,, kutumiana huko ndo mnaishia kudhalilishana,,, na jinsia KE ndo inaadhirika zaidi,,,, sababu unadhalilisha na KE wenzio.

sawa mkuu waambieni na wadogo zenu wake zenu na watoto wenu ndiyo waathirika wakubwa
 
hapa pembeni yangu kuna mtu kasema, et demu wako akikataa kukutumia picha ya papuchi yake ujue papuchi ina madonda....
ila mwenye papuchi smart lazima atume tu....
 
habari zenu za asubuhi wapendwa wangu.....
katika kutafakari sana nimejikuta nawaza haya

kuna baadhi ya mambo unakutana nayo katika mahusiano, hasa pale yanapokuwa moto moto kuna vitu huwa tunafanya kujitoa akili kwa kuwa moyo umezama au kumshawishi mwenzio ili aone upo pamoja naye..... ila katika kufanya hayo mambo wakati mapenzi yanaelekea sa kumi jion yani mahaba ni mtafutano unakuta yale mambo yanaonekana kama ni fimbo ya kutuchapia hasa kwa upande wa wanawake... ila leo nitazungumzia zaidi kwenye kutumiana picha za utupu kwa wapenzi ...

katika kipengele hiki wanaume ni wepesi sana kutuma madushe yao hata kukuonyesha live madushe yao...... sasa mwanaume anapojiachia kutuma dushe llake basi hapo unakuta na mwanamke kwa kuwa kapenda anaamua kutuma papuchi yake, nyonyo yake kwa ampendaye .... kinachonifanya nione kuwa hatupo fair hasa upande wa me ni pale wawili hawa watakogombana mwanaume anaamua kutumia zile picha kusamabaza na hata kumwona malaya hafai na a lot of bla bla.....

mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details...... akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe...... nasema hivi ili mwisho wa siku tuheshimiane jamani... wanaume wepesi sana kutuma madushe yao ni kama kawaida.......
mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA PAPUCHI ... NA MWANAMKE UNASAMBAZA KALIO LAKE ...... Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo..................

samahani kama nitakuwa nimekosea ila naonea huruma sana wanawake na vibinti wanaodhalilishwa kwa sababu ya penzi....

nawapenda wote siku njema

kwanini USISHAURI WASITUMIANE TU HIZO PICHA ZA KIPUUZI......????!!!! mnagegedana kila siku halafu mnatumiana picha za vigegedio vyenu kwani huwa mnafunga vitambaa machoni mkiwa mnagegedana???!!!!!!!!
 
hapa pembeni yangu kuna mtu kasema, et demu wako akikataa kukutumia picha ya papuchi yake ujue papuchi ina madonda....
ila mwenye papuchi smart lazima atume tu....

sasa kuona papuchi ya demu wako mpaka akutumie picha??? hivi neno demu wako lina maaana tofauti na ninayoijua???!!
 
Wanaofanya hayo ni malimbukeni wa mapenzi kupitiliza,wenye vinyongo,chuki na roho za visasi,ukinitumia picha naangalia nadelete,tukiachana heshima inachukua nafasi yake,nawaza sana mnafanyiana hivo kisha mnakuja kurudiana,poleni sana girls mkipiga msionyeshe sura,over
 
Naona kama wote ni wajinga tu

Anaetuma dushe na anaetuma papuchi ...

Halafu hii naona imekaa kitoto toto zaid,sidhani kama mtu mzima atakuambia umtumie picha ya papuchi yako

Naona kama vijana mnakokwenda ni kwenye u.pumbavu zaidi

Unatuma picha za sehemu zako nyeti ili iweje kwanza?
 
Yani katika vitu ambavyo hata kuviwaza siviwezi ni kutuma picha ya papuchi yangu, what for? Papuchi zenyewe zilivyo na sura ya ajabu mmh hapana kwa kweli, na hata zingekuwa nzuri kama tausi, why umtumie mtu picha ya maungo yako ya siri? Kesho zikivujishwa mtandaoni tunaanza kulia lia oooh kanidhalilisha eeeeh jamani wewe wakati unamtumia hizo picha hukujia kama unajidhalilisha? Tuache ujinga wa kujifanya tuna mahaba niue

hahahaah umenichekesha eti zina sura ya ajabu
 
kwanini USISHAURI WASITUMIANE TU HIZO PICHA ZA KIPUUZI......????!!!! mnagegedana kila siku halafu mnatumiana picha za vigegedio vyenu kwani huwa mnafunga vitambaa machoni mkiwa mnagegedana???!!!!!!!!

mimi hilo sina jibu ila wapo wanaofanya wakimisiana
 
sasa kuona papuchi ya demu wako mpaka akutumie picha??? hivi neno demu wako lina maaana tofauti na ninayoijua???!!

kuna wengine wanataka ya picha na live pia, sa sijui anataka kukompea na kukonstract.......
 
Back
Top Bottom