SINGLE MOM SIO VICTIMS, NI TRUE INDEPENDENT WOMEN. THEY DARED THE DEVIL HIMSELF. Mwenyewe mpaka kesho nazeeka tu ujasiri wa kuingia leba sijapata. Kuna vitoto 22, 23 vinaingia leba na kutoka salamaa navitamaniaaa. Wale watu jasiri hatariiii, kumzali mtu hajakuoa aiseeeee. Afu wengine sijui ndo ushababi wa lebaaa, anamzalia mtu hana lolote, yaani hamna hamna.
Atleast kuna shoga zangu hao walizaa penyeweeeee. Na walizaa wadogo 20yrs. Sema wamezaa sehemu za maana, hawaijui kodi, umeme, gesi, wala bei ya chupi sio zao sio za watoto. Kila kitu wanalelewa. Ukisikia uzazi mtaji ndo kama huu. Yani ada hawaijui, wanachagua shuleee tu za kusomeshewa. Wamelengaaaa haswaaa.
Mmoja mwaka jana kaolewa na kajamba nani, anakunya kunyaaaa sio kitoto. Mwanaume suruali (NA HAWA NDO WAOAJI UMSAIDIE UGUMU WA MAISHA KUMBE JE) Ananiambia Lara nanyanyasika, yaani nanyanyasikaaa sio kidogooo. Chupi inanibanaaaaa. Nanunua mpaka pampers, mpaka bei ya bambino naijuaaa sio masiharaaa. Yaani nawaza japo wote wanangu ila gap la maisha kati yao sijui naliziba vipi. Manake huyu wa kiume yupo IST wahaya wale wana mapesa huyu wa kike ataisoma namba.