Men are cruel to single women

Men are cruel to single women

Atleast unazijua shortcomings zako which is a good thing kwa maana ni rahisi zaidi kujipanga upya unapo yafahamu na kuyakubali mapungufu yako
Mapungufu yangu ni kuwa NAOUNA UHALISIA ULIVO SIKU ZOTE. I am not optimistic nor a beliver. I call a spade a spade.

ALAFU MIMI CONTRARY NA WANAWAKE WENGI NIMEKULIA MAZINGIRA YA KWENYE NDOA, AMBAYO EVERY BODY IS MARRIED AND THERE IS STIFF COMPETITION WHO MARRIED BEST. SO NIMEJIFUNZA MENGI SANAA, KWA MIAKA MINGI SANAA KWAMBA THEY KEY TO WIN IS MARRYING BEST, NA KWAMBA NDOA NYINGI NI CAMOUFLAGE TU. NZURI KWA NJE, UKIPATA INSIDE STORY UTAJUA TU EITHER WAY LIFE FACKS US ALL.
 
Wanawake tuwe wa kweli, SIO KWAMBA WANAUME HAMNA, TUNATAKA WANAUME WA MAANA SANAA, AKUZIDI ELIMU, PESA, MAISHA, SASA HAPO KAZI IPO. KAMA MIMI IM SINGLE TECHNICALLY ILA SIWEZI KUKAA NALAUMU, CAUSE I HAD MY SHOTS TAMAA TU NDO ZILIPONZA, WE ALL HAD OUR SHOTS AT A POINT IN TIME. SEMA MIMI NINA ROHO NGUMU KAMA JIWE. HAHAAAA.
Hakuna asietaka 'cha maana' jamani, kuna ubaya wowote mwanamke akitaka anaemzidi hivyo?
Tatizo tu ni kutokutambua nini unataka na kwasababu gani, how to get it and how to keep it.

Kuhusu good shots, sometimes yes sometimes no.

Kuongelea victims, nilikuwa naongelea kwa upande wa single moms.
 
HAHAAAA. Pia ukiwa umeolew in your 30s and nothing is happening mtihani. Unaozaa kimara watoto wa 3, umechoka hatariiii. Wenzio ulio graduate nao, wanaongeza vyeti, vyeo, na kujaza passport. HAHAAAA! IN LIFE YOU DONT GET EVERYTHING.

MUNGU ANAWEKA SOME SORT OF BALANCE, MKUKITANA MNAHESHIMIANA KIULAZIMA. ANAPOPUNGUZA ANAKUONGEZA PENGINE KUKU CPMENSATE NA ANAEMUONGEZEA PENGINE, KWINGINE ANAPUNGUZAAAA. ACHENI MUNGU AITWE MUNGU.

SOME FEW BY FEW I MEAN VERY FEW GET EVERYTHING. ILA NI WACHACHE MNOOO.

Mi hata niwe na miaka 100 mwanaume wa kunikopa apite kuliaaa nitakuwa nyumba ndogo kwa Le Boss.
Vile Magufuli amebana, hakuna cha le boss wala le mutuz.. hahaha


alafu usiseme tu kua MUNGU ANAPANGA, SEMA ANAPANGA NA NYIE MNAPANGUA MNAMPANGIA, ndio shida inakuja kua kama hii ya mleta mada... uko 24, mtu analeta mahari, hujui n mpango wa Mungu au sio, jamaa mwenyewe anaetaka kukuoa ndio anaanza maisha, ana boda boda kake, we kuna libos linakueka mjn, unaamua itosa ndoa eundelee kua side chick, mshkaj anaenda anaoa pengine, baada ya muda nae atakua boss vile vile... unafika wakat wako wewe kutaka olewa unakuta wale wote walio taka kukuoa wamesha oa, umri umesogea, , hapo ndio unaanza ngonjera, hakuna stress mbaya kama stress ya ndoa
 
How do we even start calling u classy from the first place depends in a quiet number of factors judging from your writing, expressions, desires, your educational levels, financial status...you've written quiet a huge content from which it makes it easy to describe what type of a person we are dealing with, so instead of saying we have "categorized" you...i think you should go back and refer what your post says cause trust me... it pretty much says alot about u

When l said categorize us, l meant you and me. (Not women)... from least classy (you) to most classy (me). Again l am not offended, l am grateful. Thank you for acknowledging that you are beneath me.
 
... MUNGU ANAWEKA SOME SORT OF BALANCE, MKUKITANA MNAHESHIMIANA KIULAZIMA. ANAPOPUNGUZA ANAKUONGEZA PENGINE KUKU CPMENSATE NA ANAEMUONGEZEA PENGINE, KWINGINE ANAPUNGUZAAAA. ACHENI MUNGU AITWE MUNGU...

"lara 1" umechangia sana mada ya "Sonnet" ila kwa uzito hayo hapo juu yanatosha kuelezea kwa ufupi maana ya ndoa.

"Marriage" is but "give and take".

Living "single" is but "take" defined as "selfishness".
 
When l said categorize us, l meant you and me. (Not women)... from least classy (you) to most classy (me). Again l am not offended, l am grateful. Thank you for acknowledging that you are beneath me.
how did you know he is from "least classy or beneath you"


Usipo badilika, utaendelea cheza kwaito kwa wenzio tu
 
Hakuna asietaka 'cha maana' jamani, kuna ubaya wowote mwanamke akitaka anaemzidi hivyo?
Tatizo tu ni kutokutambua nini unataka na kwasababu gani, how to get it and how to keep it.

Kuhusu good shots, sometimes yes sometimes no.

Kuongelea victims, nilikuwa naongelea kwa upande wa single moms.

SINGLE MOM SIO VICTIMS, NI TRUE INDEPENDENT WOMEN. THEY DARED THE DEVIL HIMSELF. Mwenyewe mpaka kesho nazeeka tu ujasiri wa kuingia leba sijapata. Kuna vitoto 22, 23 vinaingia leba na kutoka salamaa navitamaniaaa. Wale watu jasiri hatariiii, kumzali mtu hajakuoa aiseeeee. Afu wengine sijui ndo ushababi wa lebaaa, anamzalia mtu hana lolote, yaani hamna hamna.

Atleast kuna shoga zangu hao walizaa penyeweeeee. Na walizaa wadogo 20yrs. Sema wamezaa sehemu za maana, hawaijui kodi, umeme, gesi, wala bei ya chupi sio zao sio za watoto. Kila kitu wanalelewa. Ukisikia uzazi mtaji ndo kama huu. Yani ada hawaijui, wanachagua shuleee tu za kusomeshewa. Wamelengaaaa haswaaa.

Mmoja mwaka jana kaolewa na kajamba nani, anakunya kunyaaaa sio kitoto. Mwanaume suruali (NA HAWA NDO WAOAJI UMSAIDIE UGUMU WA MAISHA KUMBE JE) Ananiambia Lara nanyanyasika, yaani nanyanyasikaaa sio kidogooo. Chupi inanibanaaaaa. Nanunua mpaka pampers, mpaka bei ya bambino naijuaaa sio masiharaaa. Yaani nawaza japo wote wanangu ila gap la maisha kati yao sijui naliziba vipi. Manake huyu wa kiume yupo IST wahaya wale wana mapesa huyu wa kike ataisoma namba.
 
When l said categorize us, l meant you and me. (Not women)... from least classy (you) to most classy (me). As l said l am not offended, l am grateful. Thank you for acknowledging that you are beneath me.

And why are you making the whole thing about you or me or why having the "me and you" situation being the central part of the conversation than taking the whole problem into general specification so we can be able to identify where the problem really is and atleast come up with a solution which can benefit us all...i believe you wrote the post cause you felt there had been a problem somewhere from which you deem so seek some sort of solution and not to deviate from the original post
 
SINGLE MOM SIO VICTIMS, NI TRUE INDEPENDENT WOMEN. THEY DARED THE DEVIL HIMSELF. Mwenyewe mpaka kesho nazeeka tu ujasiri wa kuingia leba sijapata. Kuna vitoto 22, 23 vinaingia leba na kutoka salamaa navitamaniaaa. Wale watu jasiri hatariiii, kumzali mtu hajakuoa aiseeeee. Afu wengine sijui ndo ushababi wa lebaaa, anamzalia mtu hana lolote, yaani hamna hamna.

Atleast kuna shoga zangu hao walizaa penyeweeeee. Na walizaa wadogo 20yrs. Sema wamezaa sehemu za maana, hawaijui kodi, umeme, gesi, wala bei ya chupi sio zao sio za watoto. Kila kitu wanalelewa. Ukisikia uzazi mtaji ndo kama huu. Yani ada hawaijui, wanachagua shuleee tu za kusomeshewa. Wamelengaaaa haswaaa.

Mmoja mwaka jana kaolewa na kajamba nani, anakunya kunyaaaa sio kitoto. Mwanaume suruali (NA HAWA NDO WAOAJI UMSAIDIE UGUMU WA MAISHA KUMBE JE) Ananiambia Lara nanyanyasika, yaani nanyanyasikaaa sio kidogooo. Chupi inanibanaaaaa. Nanunua mpaka pampers, mpaka bei ya bambino naijuaaa sio masiharaaa. Yaani nawaza japo wote wanangu ila gap la maisha kati yao sijui naliziba vipi. Manake huyu wa kiume yupo IST wahaya wale wana mapesa huyu wa kike ataisoma namba.
Heee, kumbe bado huna copy dunian???
 
Some things should not be judged lightly and everything happen for a reason so be patience there is always a place for u in some ones heart
 
Lemme subscribe in here! So much stuff for real.
 
And why are you making the whole thing about you or me or why having the "me and you" situation being the central part of the conversation than taking the whole problem into general specification so we can be able to identify where the problem really is and atleast come up with a solution which can benefit us all...i believe you wrote the post cause you felt there had been a problem somewhere from which you deem so seek some sort of solution and not to deviate from the original post

Yes we all need to analyze the problem and find a solution instead of giving single women like me imaginary labels.
 
SINGLE MOM SIO VICTIMS, NI TRUE INDEPENDENT WOMEN. THEY DARED THE DEVIL HIMSELF. Mwenyewe mpaka kesho nazeeka tu ujasiri wa kuingia leba sijapata. Kuna vitoto 22, 23 vinaingia leba na kutoka salamaa navitamaniaaa. Wale watu jasiri hatariiii, kumzali mtu hajakuoa aiseeeee. Afu wengine sijui ndo ushababi wa lebaaa, anamzalia mtu hana lolote, yaani hamna hamna.

Atleast kuna shoga zangu hao walizaa penyeweeeee. Na walizaa wadogo 20yrs. Sema wamezaa sehemu za maana, hawaijui kodi, umeme, gesi, wala bei ya chupi sio zao sio za watoto. Kila kitu wanalelewa. Ukisikia uzazi mtaji ndo kama huu. Yani ada hawaijui, wanachagua shuleee tu za kusomeshewa. Wamelengaaaa haswaaa.

Mmoja mwaka jana kaolewa na kajamba nani, anakunya kunyaaaa sio kitoto. Mwanaume suruali (NA HAWA NDO WAOAJI UMSAIDIE UGUMU WA MAISHA KUMBE JE) Ananiambia Lara nanyanyasika, yaani nanyanyasikaaa sio kidogooo. Chupi inanibanaaaaa. Nanunua mpaka pampers, mpaka bei ya bambino naijuaaa sio masiharaaa. Yaani nawaza japo wote wanangu ila gap la maisha kati yao sijui naliziba vipi. Manake huyu wa kiume yupo IST wahaya wale wana mapesa huyu wa kike ataisoma namba.
Aiseee!!! Victims to the society, jamii inavyowachukulia.

No one can put me down unless i hv decided to.

Hii ya kuzaa tu ilimradi, nao ni ujasiri, ila kwanini mtu azae na mtu alafu alalamike? Hakumuona huyo mtu tangu awali kuwa ni jipu? If yes,kwanini aliamua kuzaa nae? Hiyo ya kuzaa na watu wa maana ndio kunawaponza wanawake wengi na kujikuta wanazaa na waume za watu.

Umeamua kumchukua kajamba nani mwenzio then kaza mshipa, hata mbuyu ulianza kama mchicha, tatizo kama mwanaume kichwani empty na mfukoni empty pia,lazima uisome namba.

Kumfuga mwanaume ni kipaji,wachache walipewa.
 
SINGLE MOM SIO VICTIMS, NI TRUE INDEPENDENT WOMEN. THEY DARED THE DEVIL HIMSELF... .

"lara 1; mbona mifano ulitoa inapingana na hoja yako hapo juu!"

SINGLE MOM is a victim of her own making just same as "Sonnet's case" we are discussing.

Why should a girl fall into a love trap!

Why the well to do women live single!

ARE MEN TO BLAME?

falsafa yangu ya maisha ni kwamba "nime ingia dunia mwenyewe na nitatoka dunia mwenyeww, hivyo maisha ni yangu mwenyewe pale ninapoanza kutambua mabaya na mazuri".
 
Yes we need to analyze the problem and find a solution instead of giving single women like me imaginary labels.

And instead of victimizing yourselves whenever you feel somethingz aren't going right, you should atleast try and analyze the problem in depths starting from self reflection cause i believe everyone here in one way or another has got a story to tell...playing victim isn't ever going to bring you any solution
 
Aiseee!!! Victims to the society, jamii inavyowachukulia.

No one can put me down unless i hv decided to.

Hii ya kuzaa tu ilimradi, nao ni ujasiri, ila kwanini mtu azae na mtu alafu alalamike? Hakumuona huyo mtu tangu awali kuwa ni jipu? If yes,kwanini aliamua kuzaa nae? Hiyo ya kuzaa na watu wa maana ndio kunawaponza wanawake wengi na kujikuta wanazaa na waume za watu.

Umeamua kumchukua kajamba nani mwenzio then kaza mshipa, hata mbuyu ulianza kama mchicha, tatizo kama mwanaume kichwani empty na mfukoni empty pia,lazima uisome namba.

Kumfuga mwanaume ni kipaji,wachache walipewa.

We kuzaa na watu maana dili kama nini hujagundua tu. Kama huyo ambae bado hajaolewaaa. Anakula bata hatari. MSHAHARA WAKE ANACHEZEA TU. Hana kaziiii nao, kila kitu babydady anasimamia show. Wakwe, mawifi. Na baby dady alivooa kazaa midume tupuuu shoga tu ndo alimzalia katoto ka kike. ILE NAYO BAHATI MAISHANI.

Yani katili, afu ana moods, na kisirani hatariii ila ushoga nae siachi ngooo. Sababu ya baby dadyy! HAHAAAAA. Mtu anakwambia nikusindikize China, nikubebe KGS. Aaaaah! Au nimsindikize South Africa December, anaogopa kwenda mwenywe. WEEEE SHOGA WA HIVO UTAMPATA WAPI MJINI HAPA.

Yani she changed my all perspctive being a single mom. Akijichanganya mjinga yoyote mwenye fedha zake namzali fastaaa.

AFUU UZEE UNAKUJAAA, NDO KUANZA KUZAA NA MIAKA 40 UNAKUTANA NA WANAO LEBA. Hahahaaa! Wenzangu hawana steress wana watoto wakubwa 6 yrs, 7 yrs wana pressure ya nini. Hata wasipoolewa wana watoto.

IMPACT YA KUTOKUZAA UTAINOA 40YRS UNAPOKUWA MUME HUNA NA MTOTO HUNA. HAHAAA. NA NDO UNAPOZAA NA MDOGO WAKO.
 
Vile Magufuli amebana, hakuna cha le boss wala le mutuz.. hahaha


alafu usiseme tu kua MUNGU ANAPANGA, SEMA ANAPANGA NA NYIE MNAPANGUA MNAMPANGIA, ndio shida inakuja kua kama hii ya mleta mada... uko 24, mtu analeta mahari, hujui n mpango wa Mungu au sio, jamaa mwenyewe anaetaka kukuoa ndio anaanza maisha, ana boda boda kake, we kuna libos linakueka mjn, unaamua itosa ndoa eundelee kua side chick, mshkaj anaenda anaoa pengine, baada ya muda nae atakua boss vile vile... unafika wakat wako wewe kutaka olewa unakuta wale wote walio taka kukuoa wamesha oa, umri umesogea, , hapo ndio unaanza ngonjera, hakuna stress mbaya kama stress ya ndoa
Kumbe nawe haujaolewa, au hiyo stress ya ndoa uliijuaje?
Ushasema kuwa alipokuja huyo kijana at yo 20's hukujua kama ni mpango wa Mungu au laah!! Sasa kama hukujua kwanini umlaumu mtu?

Hivi hakuna waloolewa at their 20's and below na wanajutia leo maamuzi walofanya??? Haya mambo hayana kanuni ndugu, unaweza mpata kajamba nani mwenzio but mkavurugana hatari, na ukampata alie vizuri ukaenjoy tu maisha.

Huwa mnawaongelea walio vizuri kiuchumi as if ni mashetani fulani, na maisha yao hayana jema.

Acheni watu wapate kitu roho inapenda, alie sahihi kwako atakuja kwa wakati uliosahihi,dont live out of yo standards maana wale wanaomeet standard zako watakufikia tu. Ufake eti kisa umfurahishe fulani, au fulani atanionaje!!! Nehiiii!
 
Kuna post nyingine yenye majibu kwenye mada ya "Sonnet" humu jamvini inaendelea kujadiliwa:

"
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?

1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.

2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.

3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.

4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.

5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.

6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.

7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.

8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.

9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.

10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.

11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.

KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.
 
"lara 1; mbona mifano ulitoa inapingana na hoja yako hapo juu!"

SINGLE MOM is a victim of her own making just same as "Sonnet's case" we are discussing.

Why should a girl fall into a love trap!

Why the well to do women live single!

ARE MEN TO BLAME?

falsafa yangu ya maisha ni kwamba "nime ingia dunia mwenyewe na nitatoka dunia mwenyeww, hivyo maisha ni yangu mwenyewe pale ninapoanza kutambua mabaya na mazuri".

Atleast you can talk some sense to some of the ladies in here who always try and find who to blame nakushindwa kujiongeza panapo bidi
 
Back
Top Bottom