lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Mapungufu yangu ni kuwa NAOUNA UHALISIA ULIVO SIKU ZOTE. I am not optimistic nor a beliver. I call a spade a spade.Atleast unazijua shortcomings zako which is a good thing kwa maana ni rahisi zaidi kujipanga upya unapo yafahamu na kuyakubali mapungufu yako
ALAFU MIMI CONTRARY NA WANAWAKE WENGI NIMEKULIA MAZINGIRA YA KWENYE NDOA, AMBAYO EVERY BODY IS MARRIED AND THERE IS STIFF COMPETITION WHO MARRIED BEST. SO NIMEJIFUNZA MENGI SANAA, KWA MIAKA MINGI SANAA KWAMBA THEY KEY TO WIN IS MARRYING BEST, NA KWAMBA NDOA NYINGI NI CAMOUFLAGE TU. NZURI KWA NJE, UKIPATA INSIDE STORY UTAJUA TU EITHER WAY LIFE FACKS US ALL.

