DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,960
- 11,432
Mkuu sio mm nimeisema vibaya, hao wanaoisema vibaya kilwa ruka nao tu mkuu.Ndipo nilipo lelewa huko mkuu..
Bora univunje mguu ila sio kuisema kilwa vibaya
Mkuu sio mm nimeisema vibaya, hao wanaoisema vibaya kilwa ruka nao tu mkuu.Ndipo nilipo lelewa huko mkuu..
Bora univunje mguu ila sio kuisema kilwa vibaya
Nawalia rada tuuu soon nawanyooshaMkuu sio mm nimeisema vibaya, hao wanaoisema vibaya kilwa ruka nao tu mkuu.
Kwenye ubunge kura rafu zao, ww unaruka na hawa wa mtaani wanaoharibu brand ya kilwaNawalia rada tuuu soon nawanyoosha
Ndio huu ni utaahira kabisa ule ni mji wa kihistoriaKwenye ubunge kura rafu zao, ww unaruka na hawa wa mtaani wanaoharibu brand ya kilwa
Kwa ajili ya afya yangu sikupingi mkuuNdio huu ni utaahira kabisa ule ni mji wa kihistoria
Wewe ni wa wapi mkuuKwa ajili ya afya yangu sikupingi mkuu
Ushirikina upo lakini kuhusiana na hayo matukio ya vifo sijui kama ni ushirikina au laa.