Members walioadimika

Members walioadimika

Kwa wale waliyotangulia mbele ya haki mungu awarehemu!na wale waliyohai ipo siku tutakuwa nawo tena hapa jamvini,mungu ni mkubwa!
 
Wengi wamebadili ID zao, lakini kuna kitu ambacho tunatakiwa tukiangalie kwa umakini, hivi wanachama ambao hawaonekani zaidi ya mwaka mmoja bila taarifa hatuwezi kuconclude kuwa wamekufa?


MMmmmmmmmmmmmmmh!:angry:
 
kuna mtu alikuwa akiitwa LazyDog! sijui huyu mtu yuko wapi! kama ni mzima ajitokeze, na kama alibadili ID huenda ana sababu zake.
 
Wapi :

Game Theory, Yournameismine, Thinkpad, Mtindiowaubongo, Mchambuzi, Eng Mohamed
 
mzee mwanakijji naye ameanza kuwa mvivu siku hizi. sijui anataka kubadili ID au ndo anakimbia jukwaa??
 
Afande Samweli
.

Mkuu Masaiti,
Mimi nipo.
Nimeamua kukaa kimya na kuwaachia watu kama akina Kail.
Ambaye kutokana na ufinyu wa mawazo yake,basi kila mtu anayechangia na ni tofauti na mawazo yake basi huyo ni afande samwel.

Tunawalaumu viongozi wa nchi yetu na wakati hapa jf kuna watu close minded na negative kama akina Kail.
 
Balatanda sasa naona ni takaribani miezi kibao haonekani JF
 
watu wana ID mbilimbili .. wote wamo humu wengine kutokana na uchaguzi wakabadili ID.. kuficha misimamo yao.. mimi mbona nina ID mbili moja ni since 2007 .. ipo katika hii post ya 2007 https://www.jamiiforums.com/sports-and-entertainment-forum/8100-hawa-wako-wapi-sasa.html
alafu watu wengi waliochangia hii post kipindi kile wamepotea

mkuu shikamoo....sikusalimu kwa ukubwa wa miaka ya duniani bali kwa uwepo wako jamvini kwa muda mrefu na kufanya niipitie post hiyo ya mwaka 2007 ambayo kiukweli imenigusa na kunikumbusha vijana wangu wa miaka ile katika tasnia hii kufokafoka.....
 

halafu wewe.....ngoja nikutafakari kwanza............mimi nikitoweka tu msiwe na wasiwasi habari mtaipata muda muafaka kabisa...hilo halina mjadala..........kuna huyu mpiganaji MFUNYUKUZI......hivi aliendaga wapi?
 
halafu wewe.....ngoja nikutafakari kwanza............mimi nikitoweka tu msiwe na wasiwasi habari mtaipata muda muafaka kabisa...hilo halina mjadala..........kuna huyu mpiganaji MFUNYUKUZI......hivi aliendaga wapi?
Ahahahahahaaaah mbona huyo yupo na kajaa tele humu ndani!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom