Members walioadimika

Members walioadimika

Maxshimba na Tumaini au ndo wamezami huko kwenye jukwaa la dini?
 
Maxshimba na Tumaini au ndo wamezami huko kwenye jukwaa la dini?

Maxshimba alitulisha bata bukini hapa majuzi kwenye sherehe ya thanksgiving....hukupata wewe?
 
wala usisumbuke kutafakuri....nipotezee tu

siwezi kukupotezea kwa sababu...ngoja kwanza kuna thread mbili tatu hivi nizitafute then nije na konklusheni....hii haiwezekani kabisa
 
siwezi kukupotezea kwa sababu...ngoja kwanza kuna thread mbili tatu hivi nizitafute then nije na konklusheni....hii haiwezekani kabisa

weee waanza kuntisha sasa oooohoooooooo
 
Mbona mimi nipo jamani au siku hizi sionekani???????????????????????????????????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom